Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

what makes it being crap?
Unataka mpaka CDM wakisema ndio manakubali?
tunapingana kwa hoja sio chuki binafisi zisizoweza kujenga nchi yetu

CCM wamekua na muda wa kutosha kutatua haya matatizo lakini mpaka leo wameshindwa - unataka waongoze miaka 100 ndio uamini wameshindwa. Huoni ni dhahiri CDM ndio pekee mbadala wa CCM kwa sasa, labda ukweli huoni ila unaona unachopenda kuona. CCM hata waongoze miaka mingine 50 hakutakua na mabadiriko kuhusu tatizo la umeme, hata mwenyewe unajua ahadi nyingi tulizowahi kupewa na uongozi wa CCM kuhusu tatizo hili - lakini bado mimi na wewe mpaka hii leo tupo gizani.
 
Wakuu kubali msikubali Januari ametumwa kutengeneza mazingira mazuri kwa old au new Dowanz kwa kisingizio cha "Emergency" yaani Dharura.Yangu macho ila mazingira yanayotumiwa na Serikali yetu kwa kushirikiana na Tanesco yanajidhihirisha wazi.Ukiangalia vizuri mgao wa umeme its "New Deal" imetengenezwa kitaalam kahalalisha Old Dowans au New Dowanz!!Inauma sana.
 
Wakuu kubali msikubali Januari ametumwa kutengeneza mazingira mazuri kwa old au new Dowanz kwa kisingizio cha "Emergency" yaani Dharura.Yangu macho ila mazingira yanayotumiwa na Serikali yetu kwa kushirikiana na Tanesco yanajidhihirisha wazi.Ukiangalia vizuri mgao wa umeme its "New Deal" imetengenezwa kitaalam kahalalisha Old Dowans au New Dowanz!!Inauma sana.
Halfcaste!
Iko movie inachezwa.... subira kwani tunafuatilia kwa karibu sana.... ukielezwa utashangaa.... ni ujambazi ushetani na uhuni...... Binadamu wamegeuka wanyama mwitu.... Na kibaya zaidi Kikwete anajifanya eti mtu wa Mungu!!!!
 
yawezekana kwavile hatuna wasomi wataalamu wa kubaini ualifu tz inawenyewe nawenyewe ni mafisada wanaonemeka na matunda ya tz
 
Mbona spika haleti motion ya new definition of emergency kama ile ya kambi ya upinzani bungeni! Au hii ina ulaji sana!
 
Wakuu kubali msikubali Januari ametumwa kutengeneza mazingira mazuri kwa old au new Dowanz kwa kisingizio cha "Emergency" yaani Dharura.Yangu macho ila mazingira yanayotumiwa na Serikali yetu kwa kushirikiana na Tanesco yanajidhihirisha wazi.Ukiangalia vizuri mgao wa umeme its "New Deal" imetengenezwa kitaalam kahalalisha Old Dowans au New Dowanz!!Inauma sana.

Sawa kabisa,Mlimao utazaaje Mchungwa?
 
Kitu cha kushangaza na kuhudhunisha kwa sirikali yetu ni kuwa mwaka jana wakati tuna maji ya kutosha tulisikia wameagiza mitambo mipya badala ya hii ya second hand ya dowans. Mwaka na ushee umepita tunapewa alinacha zilezile za wakati wa richmond kuwa "jambo hili la umeme ni la dharura" shenzi tutakuwa ni taifa la dharura tu!!! Kweli hii nji ina watu wenye akili au vichwa vimejaa mavi badala ya ubongo!!!!!!
 
Nyie subirini tu; mtawalipa bilioni 94, halafu watakuja na hiyo kampuni nyingine na serikali itakuwa tayari kununua/kukodisha majenereta yale yale (kutoka kwa kampuni nyingine) kwa mkataba mwingine wa bilioni 60 halafu mjikuta at the end of the day, majenereta ya Dowans yanatengeneza karibu bilioni 400 kwa watu wale wale - kisingizio kikiwa ni "tatizo la nishati".
 
Wacheni dogo apige kazi jamani, this is the new blood.
He wants to prove that he can DO IT. Mimi binafsi nina imani sana na January that he can contribute to the changes.
 
Wacheni dogo apige kazi jamani, this is the new blood.
He wants to prove that he can DO IT. Mimi binafsi nina imani sana na January that he can contribute to the changes.
Sio lazima kila fikra nzuri itoke upinzani,dogo kaanza vizuri UMEME SASA NI JANGA LA TAIFA.Kuna line moja nilipenda aliposema kama watanzania wanadhani mzigo wa kulipa Dowans ni mkubwa wasubiri kesi ya IPTL ikiamuliwa ndio wajue uzembe wa Tanesco/wizara/wanasheria wetu.Watu wanapunguzwa kazini kila kukicha kwasababu ya mgao hali ni mbaya sana.
 
Sio lazima kila fikra nzuri itoke upinzani,dogo kaanza vizuri UMEME SASA NI JANGA LA TAIFA.Kuna line moja nilipenda aliposema kama watanzania wanadhani mzigo wa kulipa Dowans ni mkubwa wasubiri kesi ya IPTL ikiamuliwa ndio wajue uzembe wa Tanesco/wizara/wanasheria wetu.Watu wanapunguzwa kazini kila kukicha kwasababu ya mgao hali ni mbaya sana.

hana jipya. namfahamu tangu kigoma kwa wakimbizi alitafutiwaga kitempo na dingi wake. kiazi fulani tu.
 
Kitu cha kushangaza na kuhudhunisha kwa sirikali yetu ni kuwa mwaka jana wakati tuna maji ya kutosha tulisikia wameagiza mitambo mipya badala ya hii ya second hand ya dowans. Mwaka na ushee umepita tunapewa alinacha zilezile za wakati wa richmond kuwa "jambo hili la umeme ni la dharura" shenzi tutakuwa ni taifa la dharura tu!!! Kweli hii nji ina watu wenye akili au vichwa vimejaa mavi badala ya ubongo!!!!!!

Wana akili sana sema ndio za uwizi na ujambazi wa rasilimali za wananchi. Hawana hata chembe ya huruma.
 
Yule kawekwa pale ili kutuzuga ,siamini kama maji yamepungua kwenye vina vya maji mchezo wa mafia umeeandaliwa vizuri sana kutukausha kwa kutunyima umeme baada ya hapo tutalegea na kusema bora fedha zilipwe na dowans iwashwe nawasikia wahindi wa CTI wanasema dowans iwashwe ha ha ha ngereja anasema mafuta ya IPTL yemeshafika nchini tangu aseme hilo wiki imeshapita nchii hii kwa kweli mungu atuhurumie tuu lakini ni shamba la bibi
 
Nyie subirini tu; mtawalipa bilioni 94, halafu watakuja na hiyo kampuni nyingine na serikali itakuwa tayari kununua/kukodisha majenereta yale yale (kutoka kwa kampuni nyingine) kwa mkataba mwingine wa bilioni 60 halafu mjikuta at the end of the day, majenereta ya Dowans yanatengeneza karibu bilioni 400 kwa watu wale wale - kisingizio kikiwa ni "tatizo la nishati".

Hizo ndizo hadidu za rejea alizopewa Januari wakati anapewa uenyekiti wa Kamati ya nishati na hao waliompa milioni 18 za kuhonga wabunge wengine kuipata nafasi hiyo. Lakini Mungu ni mkubwa na ameshaona tulivyopata shida. Hatuwezi kuendelea kuumia hivi wakati hatuna hatia.
 
Wakuu kubali msikubali Januari ametumwa kutengeneza mazingira mazuri kwa old au new Dowanz kwa kisingizio cha "Emergency" yaani Dharura.Yangu macho ila mazingira yanayotumiwa na Serikali yetu kwa kushirikiana na Tanesco yanajidhihirisha wazi.Ukiangalia vizuri mgao wa umeme its "New Deal" imetengenezwa kitaalam kahalalisha Old Dowans au New Dowanz!!Inauma sana.

Nakubaliana na wewe..old dowans inarudi Nimesikiliza leo TBC asubui Mnyika ameshauli kwa kutumia sheria ya uhujumu uchumi mitambo ya dowans iwashwe wakati huo Makamba akakwepa kidogo kuhusu sheria hiyo bali akasema kuwepo na mkataba hata wa siku 90 na dowans
 
Inabidi mijadala iwepo kila siku ya kusolve hili tatizo. Tukipiga kelele kwa muda wa mwezi mzima hakuna anayejali, tunaingia barabarani. Naimani hiyo mijadala itawaumbua watu kibao, itatoa solutions kibao namna ya kukomesha hii tatizo na tabia za viongozi wetu. Ikiwezekana wanaotuhumiwa kuiba sehemu wanataifishwe na mali zali zitumike kusolve tatizo la umeme.
 
Naona wamenogewa kutupiga Mijengo ya wima kwa kutuvizia nyuma.
Hata hivyo inawezekana na sisi wenyewe tumenogewa na kuendelea kubuyama.
We pigatu! Iko siku!!!!


Wakuu kubali msikubali Januari ametumwa kutengeneza mazingira mazuri kwa old au new Dowanz kwa kisingizio cha "Emergency" yaani Dharura.Yangu macho ila mazingira yanayotumiwa na Serikali yetu kwa kushirikiana na Tanesco yanajidhihirisha wazi.Ukiangalia vizuri mgao wa umeme its "New Deal" imetengenezwa kitaalam kahalalisha Old Dowans au New Dowanz!!Inauma sana.
 
Back
Top Bottom