Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Wadau.
Nimekutana na hii pic mtandanoni, nikaona ni vyema kuitundika hapa. Je, kuna umuhimu wowote wa kutumia dikshenari kama unahitaji kuweka tangazo kwa kiingereza au bora ujumbe umefika hata kama spelling zimekosewa?
Maoni.....
Pic kwa hisani: Michuzi.
Nimekutana na hii pic mtandanoni, nikaona ni vyema kuitundika hapa. Je, kuna umuhimu wowote wa kutumia dikshenari kama unahitaji kuweka tangazo kwa kiingereza au bora ujumbe umefika hata kama spelling zimekosewa?
Maoni.....
Pic kwa hisani: Michuzi.