Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
- Thread starter
- #21
kapeleke rambi rambi za watu.
Alikua ana msingizia mch.msigwa kumbe mwenyewe ndo kazitia ndani noma kweli kweli.
kapeleke rambi rambi za watu.
Senki yu veri machi.
Napata taabu sana kuelewa kiingereza anacho ongea mama Makinda au sijui ni kwa sababu kiko deep sana ama kinasound kibantu zaidi?.....yote tisa kumi ni kwamba sijawahi kuwasikia mh Mkuchika,Asnain Murji, Shibuda Anna Abdala wakiongea kizungu hongereni kwa kukienzi kiswahili.
okeee senki yu veri machiiii...anaza wani puliiziiUkishajua Kiingereza Unapata Nini? Sasa Wewe unajua Hicho Kiingerereza ila Huna Hadhi Kama Ya Mama Makinda na Utakufa na Umasikini Wako Huo Huo Pamoja na Kiingereza Chako hicho. Halafu Mbona Wanaokijua Huwa Hawashoboki na Wala Huwa Hawapendi Kujionyesha Kama Wanakijua na Wanakiongeza Isipokuwa tu Pale Inapobidi? Ndio Tatizo Ukizaliwa ktk Ukata na Siku Ukizibahatisha tu Nyodo Nyingi Mitaani. Mwacheni Mama wa Watu na Isitoshe Tunamwelewa Mno tu Akiwa Anazungumza ila Huwa Napenda Sana Mfano wa Mama ASHA ROSE MTENGETI MIGIRO Kwa Kupenda Sana Kuzungumza na Kukisifia KISWAHILI chetu Wakati ni Mzungumzaji Mzuri Sana Wa Kiingereza Pale Inapobidi tu ila Hakitukuzi Hicho Kiingereza Chenu. Mmekuwa Wepesi Sana Kuwashambulia Viongozi Kuwa Hawajui Kiingereza Wakati Usishangae hata Wewe Mwenyewe Hujui Kuongea Vizuri Kiingereza na Hata Wazazi Wako au Ukoo Wako Wote Nao Hawajui bali ni Wewe tu Ndiyo Umeona Mwezi na Umetoa Tongotongo. Mnaudhi na Ndiyo Maana Nawapaka na Mkinichukia Shauri Yenu Washamba Wakubwa.
Asnan Murji darasa la 7-he is zero!! Bt good in business making
kwa dunia ya leo ni muhimu viongozi wakafahamu kuongea lugha za kimataifa especially kiingereza .sijui kama wabunge wote wanalifahamu hili.
Ungenge wito, siku bunge likiamua kutumia ngeli kama lugha ya mijadala basi kuna waheshimiwa watamaliza miaka mitano bila kuchangia. na wengine kuachana na siasa kabisa.
Mh. Prof. High Water, wa Mheza anajitahidi sana kupiga kiinglishi ingawa inakuwa ni mseto zaidi (kiswa-nglishi).
Wala mama yuko njema kabisa katika lugha jaribu kustudy taratibu tena yeye ujue ni yale matunda ya uhuru enzi za elimu ikiwa bado haijaingiliwa na mamluki,she is very good,sema hicaps hazikosekani lakini yuko sawa
Ungenge wito, siku bunge likiamua kutumia ngeli kama lugha ya mijadala basi kuna waheshimiwa watamaliza miaka mitano bila kuchangia. na wengine kuachana na siasa kabisa.
Senki yuu veri maacheee! Lazima ujue luvuta kidogo,
Thenki yuu vere macheeeeeeeeeeeeeeeeeee