Kiingereza Cha Mama Anna Makinda.....

Kiingereza Cha Mama Anna Makinda.....

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,493
Reaction score
12,461
Napata taabu sana kuelewa kiingereza anacho ongea mama Makinda au sijui ni kwa sababu kiko deep sana ama kinasound kibantu zaidi?.....yote tisa kumi ni kwamba sijawahi kuwasikia mh Mkuchika,Asnain Murji, Shibuda Anna Abdala wakiongea kizungu hongereni kwa kukienzi kiswahili.
 
Ungenge wito, siku bunge likiamua kutumia ngeli kama lugha ya mijadala basi kuna waheshimiwa watamaliza miaka mitano bila kuchangia. na wengine kuachana na siasa kabisa.
 
Wala mama yuko njema kabisa katika lugha jaribu kustudy taratibu tena yeye ujue ni yale matunda ya uhuru enzi za elimu ikiwa bado haijaingiliwa na mamluki,she is very good,sema hicaps hazikosekani lakini yuko sawa
 
Wala mama yuko njema kabisa katika lugha jaribu kustudy taratibu tena yeye ujue ni yale matunda ya uhuru enzi za elimu ikiwa bado haijaingiliwa na mamluki,she is very good,sema hicaps hazikosekani lakini yuko sawa
Itakua ana mix na kibena kiaina..
 
Asnan Murji darasa la 7-he is zero!! Bt good in business making
 
Badala ya kuwa proud na lugha yako ya taifa unauliza kama wengine wanajua kuongea lugha za watu.

Anyway, uliwahi kusikia wazungu wakishindana kuongea kiswahili?
 
Badala ya kuwa proud na lugha yako ya taifa unauliza kama wengine wanajua kuongea lugha za watu.

Anyway, uliwahi kusikia wazungu wakishindana kuongea kiswahili?
Your suggestion is well incomparable and closes to the irrelevancy. English is in the class of its own, no matter what you think or say, it is a world's communicative icon of all times, you can not compare the two at all.
 
Badala ya kuwa proud na lugha yako ya taifa unauliza kama wengine wanajua kuongea lugha za watu.

Anyway, uliwahi kusikia wazungu wakishindana kuongea kiswahili?
kapeleke rambi rambi za watu.
 
kwa dunia ya leo ni muhimu viongozi wakafahamu kuongea lugha za kimataifa especially kiingereza .sijui kama wabunge wote wanalifahamu hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom