View attachment 471884 Basi msalipo fanyeni hivi...![]()
![]()
![]()
Mungu wetu si kiziwi kwamba hatasikia sauté yako. ..huhitaji kupayuka wala kupiga kelele... ndio maana unaaswa kwamba utakapo taka kusali funga mlango fanya maombi yako kwa utulivu. ...Na Baba yako aliye sirini atakujazi

Abeee kakaCC : @sakayo
Jr![]()
Aimennn aimennn kaka



nimeokoka kabisa best
Kweli shetani akizeeka hubadilika kuwa malaika.
Mshana Jr umeacha ulozi?
Sent using Jamii Forums mobile app

Am gud kakake!Hope you gud
Jr![]()








Tena ombeni kwa imani,maana mtu aombae bila imani asidhani kama atapata kitu,tena msiombe tu,ombeni mkiwa mmejitoharisha ki roho na kimwili.Ondoeni hila yote mioyoni mwenu,majivuno,chuki ,husuda,unafiki,choyo,wivu,ubinafsi,upendeleo,nia mbaya,mawazo mabaya,tamaa,na uchafu wote ndipo neema ya Mungu itawafikirieni, nje na hapo utaomba na wala hutapata.
Sent using Jamii Forums mobile app
