Wavivu, wamezoea kutafuniwa mwisho wa siku kukaririshwa, hawaumizi kichwa.Wengi hawasomi neno na kulielewa
Amen mkuu...View attachment 471884 Basi msalipo fanyeni hivi...![]()
![]()
![]()
Mungu wetu si kiziwi kwamba hatasikia sauté yako. ..huhitaji kupayuka wala kupiga kelele... ndio maana unaaswa kwamba utakapo taka kusali funga mlango fanya maombi yako kwa utulivu. ...Na Baba yako aliye sirini atakujazi
Limetupata wengine!!!Bila shaka hili jiwe gizani.