MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Kihoja hiki kimejiri muda wa saa 7 mchana pale bibi akiwa angania alipodondoka chini maeneo ya mfumoni(wenyeji mnapajua).
Bibi huyo aliambatana na mtoto mmoja wa kike kwa wenyeji wanasema alishafariki miaka 3 iliyopita.
Raia na mwenyekiti wa kijiji walipokuwa wakimuhoji alikuwa akitoa majibu yaliyoacha watu midomo wazi:
Anasema anawatu zaidi ya arobaini alionao kimazingira!
Yeye ndo alisababisha ajali ya fuso la nyanya na coaster pale maeneo ya kibosho road.
Amesema kipindi anaishi maeneo ya narumu kuna shule alikuwa akiwaingia wanafunzi na kuanguka.
Baada ya hapo ndo watu wakasema lazima wammalize na yeye, polisi kuingilia kati na kutawanya watu kwa mabomu ya machozi na kumpeleka bibi kituo cha polisi boma ngombe na baadhi ya raia kushikiliwa.
Nawasilisha.
Bibi huyo aliambatana na mtoto mmoja wa kike kwa wenyeji wanasema alishafariki miaka 3 iliyopita.
Raia na mwenyekiti wa kijiji walipokuwa wakimuhoji alikuwa akitoa majibu yaliyoacha watu midomo wazi:
Anasema anawatu zaidi ya arobaini alionao kimazingira!
Yeye ndo alisababisha ajali ya fuso la nyanya na coaster pale maeneo ya kibosho road.
Amesema kipindi anaishi maeneo ya narumu kuna shule alikuwa akiwaingia wanafunzi na kuanguka.
Baada ya hapo ndo watu wakasema lazima wammalize na yeye, polisi kuingilia kati na kutawanya watu kwa mabomu ya machozi na kumpeleka bibi kituo cha polisi boma ngombe na baadhi ya raia kushikiliwa.
Nawasilisha.