Kiherehere cha Rio Fernand kiwe Fundisho kwa Wengine

Kiherehere cha Rio Fernand kiwe Fundisho kwa Wengine

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,867
Reaction score
21,189
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.

Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.

Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.

ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.

IMG-20260521-WA0039.jpg
 
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.

Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.

Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.

ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.

View attachment 3592237
Hapangiwi
 
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.

Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.

Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.

ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.

View attachment 3592237
Gentleman,
kwahiyo wew ukialumiwa tu inakua kimekuramba, right?

na kwamba unahitaji kufundishwa na kuelekezwa na watu fulani sehemu fulani namna ya kuishi na kuinjoy maisha yako, right?

lofa kweli gentleman, dah 🐒
 
Gentleman,
kwahiyo wew ukialumiwa tu inakua kimekuramba, right?

na kwamba unahitaji kufundishwa na kuelekezwa na watu fulani sehemu fulani namna ya kuishi na kuinjoy maisha yako, right?

lofa kweli gentleman, dah 🐒
Mtatoa kila aina ya kilio mwaka huu.
 
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.

Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.

Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.

ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.

View attachment 3592237
Mbona jamaa hapost?
 
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.

Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.

Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.

ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.

View attachment 3592237
Duuh amefanya nini kwani
 
Back
Top Bottom