The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,867
- 21,189
Rio Fernand kimeshasnza kumlamba huko, sisi tulimshauri akashupaza shingo.
Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.
Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.
ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.
Mashirika ya haki za binadamu yamemulaumu kwa hatua yake ya kuitembelea Tanzania nchi ambayo imemwaga damu nyingi sana za watanzania wengi wasiokuwa na hatia.
Bali na shirika hilo watu wengi sana wapenda haki hawajapendezwa na ujio wake kwani Tanzania kwa sasa si salama na iko chiji ya uangalizi wa kimataifa.
ikumbukwe pia kwamba.Paul Makonda anakizuizi cha Marekani kutembelea taifa hilo. bila aibu Fernand anapiga selfie na majangili ya Tanzania.