chikakatata
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 220
- 98
Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia.
Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.
Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.
Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.
Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.