Kigwangalla afunika Bungeni

Kigwangalla afunika Bungeni

Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia.

Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.

Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.
Mbona unampigia debe huyo jamaa kiasi hicho?

Inawezekana kwa kuwa huyo jamaa anausaka Urais kwa udi na uvumba kwa tiketi ya.magamba, akawa amekuteua wewe kuwa campaign Manager wake!
 
Huu uzi amesifiwa mbunge wa ccm sio mbaya,nyie wachaga hamkupaswa kuleta vioja hapa,kwanini msisifie kina sugu na lema?mtu akifanya vizur pongezi ni haki yake kigwangala katisha kwa speech zake
lema na sugu wanaweza kusifiwa kwa kufanya fujo tu bungeni na sio kwa hoja. hoja wazitoe wapi? labda viroja!
 
Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia.

Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.

Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.

Mkuu weka hotuba humu or zip-up
 
hotuba nzuri ni ile itakayogusa ukombozi wa wanawake kimapinduzi
 
hana lolote..wabunge wa ccm wanatafuta kujiosha wala hawatushitui wao wasubr hukumu yao.
 
Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia.

Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.

Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.

as long as yeye ni gamba hakuna cha maana atakacho ongea nika kielewa!!
 
binafsi kwa upande wa wabunge wa ccm kigwangallah afadhali kidogo kuliko wale wemzake.
 
Kigwangala anatudanganya, huyu kwenye bunge la katiba alichangia kwa kusaport zile kungu fu za chenge. Aende zake.
 
Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia.

Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi.

Na pale alipoongelea mapato ya asilimia 10 ya vijana na ile asilimia 60 own collection ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hotuba ya Kigwangalla kwa jana na ya leo zimewagusa sana wabunge wenzake kiasi cha kila mchangiaji toka jana jioni wamekuwa wakimnukuu, jambo ambalo si la kawaida.

Igweeeeeee
 
Back
Top Bottom