Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

kilichopo kichwani mwako, ndio umekiandika.

hebu niambie hawa waha wako wapi leo??????

1.dr walid kaburu
2. kafulila
3. na sasa zitto kabwe

Dhambi ya usaliti imewatafuna hao
 
ubadhirifu wa ruzuku ya chama
kula mapato ya chama na kununulia majumba dubai
kuchota mapesa ya ruzuku ya chama na kwenda kuvinjari na mahawara ulaya



Aaah..... Unatuchosha na haya masingle ya kizamani eboooo! Vipi hamjatoa hata remix? Hiyo single haiuzi tena bana
 
Akili ndogo hukimbilia kujadili udini, ukabila na ukanda andika hoja.
jibuni hoja zilizopo kwenye mkakati wa mabadiliko 2013, na zile za mwigamba.kuwafukuza haisaidii. umewafukuza hao wawili lakini watazaliwa wengi
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE
 
Last edited by a moderator:
slaa nusura wamuue kasulu.

mtei mwenye nyumba
mbowe mtoto wa mwenye nyumba
slaa mpangaji



Huna hoja mbona..... Unahamahama hata hueleweki,.... Simama vizuri manake unakaribia kuanguka kwa kiwewe
 
Molemo kwanini umeweka huu uzi?kuna wana zitto na wana ccm hawataki hizi story bana!
 
hii inadhihirisha kuwa chadema imekufa rasmi

Hayo ni maneno ya mkosaji hata kwenye kanga yapo,wanaccm ni wanga wa usiku,anacheza mirangoni usku kucha ukitafta faida gani anapata huioni ila yeye anajiona Yuko vizuri tu.
 
ubadhirifu wa ruzuku ya chama
kula mapato ya chama na kununulia majumba dubai
kuchota mapesa ya ruzuku ya chama na kwenda kuvinjari na mahawara ulaya

Njoo makao makuu ya chama uone pesa za ruzuku zinavyo tumika
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE


Wewe taahira mzee ndie unatakiwa kupuuzwa... Vipi umeacha kuongea peke yako barabarani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom