Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

LISSU alicheza karata zake kwa pupa akamaliza akabaki na JIKE_mtaalam ZZK akabakiza DUME, tumeshuhudia SERENA LISSU AKIOLEWA_chezea prof wa siasa za Bongo_lazima azame na Chame, mzamisheni muone


Yaani wewe, mwenzio ameshaanza kuzamishwa wewe badala upige mbizi kumwokoa eti unaagiza azamishwe zaidi ha ha ha... Eti leo kamtuma msando amwombee msamaha, kuna mtu anasema kesho atatuma wazee, kuna ukweli hapo?
 
mnadanganyana hapa jukwaani lakini kwenye uhalisia chadema imejifia, imechokwa. slaa analindwa na polisi kuliko hata kikwete anavyolindwa, hatakiwi tena na wananchi. akionekana wanakula kichwa.
teh teh, una utani na jk wewe!
 
Kama utakumbuka na kujua kaanun au mwiko mkuu kwa mwandishi au mtoa habari ni USHABIKI.

Na vile vile mtoa habari ambaye atatoa habari sahihi ni yule asiye na maslahi katika upande wowote ule kwa maana ya Chadema family au Chadema original. sasa mtoa habari ukiwa umeegemea upande mmoja si utaleta vituka hapa.

Pole sana kwa Habari zina taratibu na kaanua zake na sio field ambayo kila mtu anaweza.

surualia fupi akili fupi
 
mnadanganyana hapa jukwaani lakini kwenye uhalisia chadema imejifia, imechokwa. slaa analindwa na polisi kuliko hata kikwete anavyolindwa, hatakiwi tena na wananchi. akionekana wanakula kichwa.

kwa kosa gani alofanya?
 
chadema jibuni hoja zilizopo kwenye mkakati wa mabadiliko 2013 acheni kuweweseka
 
Kama utakumbuka na kujua kaanun au mwiko mkuu kwa mwandishi au mtoa habari ni USHABIKI.

Na vile vile mtoa habari ambaye atatoa habari sahihi ni yule asiye na maslahi katika upande wowote ule kwa maana ya Chadema family au Chadema original. sasa mtoa habari ukiwa umeegemea upande mmoja si utaleta vituka hapa.

Pole sana kwa Habari zina taratibu na kaanua zake na sio field ambayo kila mtu anaweza.

wewe endelea kupikia watoto wa kiarabi usije ukaunguza ujachapwa bure..
 
Back
Top Bottom