Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Hana uwezo wa picha za ukweli hata hii alisema ni kijijini Nyarubanda Kgm Kaskazini kumbe ni Kasulu Mjini nimekubali propaganda ndiyo nguzo kuu katika siasa. Sioni tofauti ya CHADEMA na CCM wala cha NCCR na CUF bora ya soka la kibongo mnagongwa wote ninaona.
View attachment 126055
c u when u c me!


Kamata mkimbizi huyu, umeponaje kwenye operesheni kimbunga wewe? Tutakusaka tukurudishe kwenu kilaza wewe
 
Ulwaokoa waisrael kutoka utumwani mwa Wamisil ukimtumia Musa, kwa nn sio ss?
Ee Mungu tukumbuke na ss kupitia Cdm, pia tulinde na majesh hasmu kama ulivyo waangamiza wanajeshi wa Farao. AMEN
 
waha ni wazuri ila zitto ni mbaya....is it? machadema mna matope kweli. do you think tanzanian are lazy in thinking as you are?

Umesha tumbukiza udini, Zitto amehukumiwa kwa matendo yake sio kabila lake.
 
mnaipata aibu ya mwaka mpaka mpate adabu. mnawageuza watu misukule kwa uongo
 
kadanganye wajinga, wasiofuatilia mambo, mkutano hauna watu, ndio mana hata ule wa asubuhi haukufanyika, hata huu ni watoto tu ndio wengi wamefata muziki


Mnatamani iwe kama hivi mnavyofikiria, lakini ndo basi tena, mtafanya nini!
 
Umesha tumbukiza udini, Zitto amehukumiwa kwa matendo yake sio kabila lake.

kilichopo kichwani mwako, ndio umekiandika.

hebu niambie hawa waha wako wapi leo??????

1.dr walid kaburu
2. kafulila
3. na sasa zitto kabwe
 
Tuliza mshono slaa nikiboko ya wahuni zitto leo kamtuma msando kesho atatuma wazee wakumwombea msamaha.
 
Mwanasiasa aliyekomaa ni yule ambaye anaweza kuhutubia watu wachache na si yule ambaye yupo tayari kutumia pesa nyingi kusomba watu toka kila kona ya mji ili kujaza watu ili ionekane mkutano wake umejaza watu.
Ningependa tupate pucha halisi ya kile kinachoendelea maana ukomavu wa kisiasa hauji kirahisi na ukiona nyumba ambayo haina changamoto ujue mbeleni ni majanga.
Slaa hakuna kurudi nyuma na mwisho wa siku wananchi wataelewa pumba ni zipi na mchele ni upi.
 
Kama ni ya Uongo mbona wewe hujaweka picha ya ku-backup statement yako.Wewe ndio wa kupuuza

LISSU alicheza karata zake kwa pupa akamaliza akabaki na JIKE_mtaalam ZZK akabakiza DUME, tumeshuhudia SERENA LISSU AKIOLEWA_chezea prof wa siasa za Bongo_lazima azame na Chame, mzamisheni muone
 
kilichopo kichwani mwako, ndio umekiandika.

hebu niambie hawa waha wako wapi leo??????

1.dr walid kaburu
2. kafulila
3. na sasa zitto kabwe

Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako..... Yeyote msaliti tunafukuza tu haijalishi anatoka mkoa gani....
 
Kama utakumbuka na kujua kaanun au mwiko mkuu kwa mwandishi au mtoa habari ni USHABIKI.

Na vile vile mtoa habari ambaye atatoa habari sahihi ni yule asiye na maslahi katika upande wowote ule kwa maana ya Chadema family au Chadema original. sasa mtoa habari ukiwa umeegemea upande mmoja si utaleta vituka hapa.

Pole sana kwa Habari zina taratibu na kaanua zake na sio field ambayo kila mtu anaweza.
 
Mwanasiasa aliyekomaa ni yule ambaye anaweza kuhutubia watu wachache na si yule ambaye yupo tayari kutumia pesa nyingi kusomba watu toka kila kona ya mji ili kujaza watu ili ionekane mkutano wake umejaza watu.
Ningependa tupate pucha halisi ya kile kinachoendelea maana ukomavu wa kisiasa hauji kirahisi na ukiona nyumba ambayo haina changamoto ujue mbeleni ni majanga.
Slaa hakuna kurudi nyuma na mwisho wa siku wananchi wataelewa pumba ni zipi na mchele ni upi.

naona mnaanza kujifariji. rest in peace chadema
 
Back
Top Bottom