Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

We masalia nipo mkutanoni cdm noma inapendwa tu??angalia itv jioni chi...we.p[eoplessssssssssssssssssssss.......................poweeerrrrrrrrrrrrrrr


Waambie hao masalia , wataisoma namba
 
Dr kachemsha watoto watupu wamefuata mziki, namtafuta Makene kajificha aibu
 
Ha ha ha ha.... Endelea kumdanganya baba wa watu wakati tayari anapumulia mashine.... Ikitolewa tu kwisha habari yake.... Hatuna urafiki na wasaliti kama yeye

Hii ID, hujisikii aibu kujiita sweetlady?
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE
teh teh, mkuu unataka wakazi wa kigoma wote waende kwenye mkutano? Je huo uwanja utatosha? Je wana kigoma wote ni wanachadema?
 
Last edited by a moderator:
Dr kachemsha watoto watupu wamefuata mziki, namtafuta Makene kajificha aibu

Makene ajifiche kwaajili ya kilaza kama wewe! Thubutu, ungekuwa eneo la mkutano na huo umbea ulionao ungerusha picha sanyingi sana.. Pole weye
 
Chama kimebakisha utmost siku 20 kabla ya kufa, watu wanatapatapa sasa.
Wassira ana akili sana...
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE

kazi unayo baba ila umekutana na vichwa vilivyokuzidi maarifa.
 
Chadema Mfano wa Kuigwa katika Afrika ya Mash na Kati Ritz
 
Last edited by a moderator:
Chama kimebakisha utmost siku 20 kabla ya kufa, watu wanatapatapa sasa.
Wassira ana akili sana...

Bora chadema imebakisha almost 20 days.... Hujihurumii wewe uliyebakisha almost 3 days u RIP?
 
Back
Top Bottom