Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

hii habari inaandaliwa usiku , ukifika mda anipost, kwel mmeshiwa,

wanaanda maneno ya kuingia nayo hapa, mara kigoma yazizima , dr. Silaa apokelewa km mfalme, mara maandamano makubwa kumpokea dr,

ukienda kwenye field ni hewaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE
sixgates umma wa wapenda demokrasia upo upande wenu, tunawaamini kwa kuwaumbua hawa wanafiki kina Molemo and Co
 
Last edited by a moderator:
Njoo makao makuu ya chama uone pesa za ruzuku zinavyo tumika
kwa hiyo ruzuku inaliwa na kuishia hapo hapo makao makuu kumbe. ndio mana wanachama mikoani na wilayani wanalalamikia ufisadi huu wa ndani ya chama makao makuu
 
Hayo ni maneno ya mkosaji hata kwenye kanga yapo,wanaccm ni wanga wa usiku,anacheza mirangoni usku kucha ukitafta faida gani anapata huioni ila yeye anajiona Yuko vizuri tu.

Maccm yameshikwa pabaya
 
sixgates umma wa wapenda demokrasia upo upande wenu, tunawaamini kwa kuwaumbua hawa wanafiki kina Molemo and Co


Ha ha ha ha.... Endelea kumdanganya baba wa watu wakati tayari anapumulia mashine.... Ikitolewa tu kwisha habari yake.... Hatuna urafiki na wasaliti kama yeye
 
Last edited by a moderator:
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE


Meya wa Manispaa ya kigoma ujiji anatoa taarifa na anashangiliwa na umati wa wananchi hapa, CDM mpango wa Mungu

Diwani wa Uvinza naye anapanda jukwaani
 
Naombeni muipuuze hii habari iliyoandaliwa na Molemo, mda sii mrefu tutamwaga picha na updates za mkutano huo. Lakini hali sii nzuri kwasababu turn out ya watu ni ndogo sana ikitegemea kigoma mjini kuna idadi kubwa ya watu.

CC Taswira, TUNTEMEKE

Kuna mahali umesema kwamba you are leding your lofe and leaving Chadema alone .Kumbe ulikuwa na akili kama ya Mbuni na kichwa chake? In the end Chadema ni taasisi wenye njaa kama nyie ni makapi tu .Kama unabisha tuendelee tu kupeana habari .Mnasema haya jioni ITV wanaonyesha kitu tofauti .
 
hii habari inaandaliwa usiku , ukifika mda anipost, kwel mmeshiwa,

wanaanda maneno ya kuingia nayo hapa, mara kigoma yazizima , dr. Silaa apokelewa km mfalme, mara maandamano makubwa kumpokea dr,

ukienda kwenye field ni hewaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Inaumaeeh........ Najua ni chungu sana hii, vumilua tu mkuu Kibabu chetu
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe, mwenzio ameshaanza kuzamishwa wewe badala upige mbizi kumwokoa eti unaagiza azamishwe zaidi ha ha ha... Eti leo kamtuma msando amwombee msamaha, kuna mtu anasema kesho atatuma wazee, kuna ukweli hapo?

ZZK hawez kuomba msamaha asilan_Kigoma yule, kwetu hazaliwi -----
 
ubadhirifu wa ruzuku ya chama
kula mapato ya chama na kununulia majumba dubai
kuchota mapesa ya ruzuku ya chama na kwenda kuvinjari na mahawara ulaya
una utani na maccm wewe! Nitakuitia kina mtemi Endrew chenge wakushughulikie!
 
We masalia nipo mkutanoni cdm noma inapendwa tu??angalia itv jioni chi...we.p[eoplessssssssssssssssssssss.......................poweeerrrrrrrrrrrrrrr
 
Yaani ukweli utoke kwa mtu aliye Lumumba nyuma ya PC kuliko yule aliyeko field uwanjani? Kweli nyie mataahira. Danganyaneni wenyewe ili mlipwe basi.

Ni bora yule wa Lumumba anayeweka picha za ukweli kuliko yule wa field anayetuma picha za mwaka 2010.
 
Back
Top Bottom