Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Ushauri mzuri sana Kamanda.

Dr Slaa ni Simba wa Vita Tanzania na ameivuruga vibaya sana CCM Kigoma.

Wale wavuta bangi waliotafutwa na Waasi kuvuruga ziara ya Dr Slaa Kigoma wamepotea kabisa kutokana na msimamo mkali wa wanaKigoma dhidi ya Waasi na Wasaliti.

...Ratiba ya Mapokezi ikae hivi:

......Geita,Mwanza,Mara, Simiyu,Shinyanga,Tabora, Singida,Manyara,Arusha, Moshi, Tanga , Dar, Morogoro,Iringa....Mbeya (Funga Kazi)

....Chopa Kama Kawa!!!

CC: CHADEMA MAKAO MAKUU ,Molemo...
 
Picha siyo lazima leo hii.

Teh teh teh

Mkuu Ritz
Njaa kitu kibaya sana Molemo anakula kwa posti za JF hata kama picha ni ya leo mbona haiendeni na kichwa cha habari? Hao watu waliohudhuria hivi unaweza kutoka mbele ya watu ukadai mji umezizima? hii misekule ya Chadema ni balaa tupu haijielewi!
 
Last edited by a moderator:
Hii picha nimeiweka kumbukumbu siku zitto akifanya mkutano tulinganishe tuone.
Hiki chama kinakufa kabla jogoo hajawika.
 
Watu wameshawasili uwanjani hapa Community Centre mjini Kigoma kwa ajili ya ujio wa Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa.

Wengine tayari wameshaanza kuchukua nafasi zao. Ngoma inachezwa hapa kama maandalizi ya kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa.

Manji wa ngoma hii anaitwa Mapigo Saba, ambaye anajinasibu kuwa ana miaka 61, anazidi kuwahanikiza watu waendelee kujongea hapa.

Anasema vijana makini, wazee makini na akina mama makini wako CHADEMA. Watu wanamsubiri kwa hamu mgeni wao!

Updates 1.....

Kila kitu kiko sawasawa hapa, mathalani kuna jenereta la dharura kama umeme utakatika.

Red brigade wako imara karibu kila kona ya uwanja huu kuhakikisha ulinzi uko sawasawa. Kuna stori inatafutwa na kuandaliwa nje ya uwanja hapa.

Wanahabari tumeshanyaka mpango mzima unaoandaliwa maana inavyoonekana huku ndani mipango yao hawataweza kufanikisha kwa sababu ya uimara wa ulinzi wa Red Brigade na usalama wa Chadema.

Kuna waandishi wa magazeti ya...wameshaandaliwa na tayari wamepelekwa hapo nje ambapo kuna kitu kinaandaliwa.

Update 2....

Watu wametulia kbs hapa Uwanjani, wakiendelea kumsubiri kwa hamu mgeni wao. Watu wanazidi kumiminika uwanjani.

MC anaendelea kuwasisitiza wananchi wengi walioko pembeni mwa uwanja waungane na wenzao wengi pia walioko mbele ya jukwaa.

MC anaomba wimbo wa ''SLAA ANAWEZA''. Anasema huo wimbo unakubalika sana Kigoma anasema kuna siku kwenye harusi moja, Bwana Harusi aliwashangaza waalikwa alipoomba wimbo huo kwa ajili ya kutokea ukumbini.

Anasema maudhui yake ni murua na leo mtu mwenyewe yuko hapa. Waliyempigia kura za kutosha mwaka 2010 kwa sababu wanamuamini na wanaamini katika chama chao, CHADEMA.

Updates 3....

Dkt. Slaa ameingia uwanjani tayari wananchi waliokuwa pembeni na nje ya uwanja, wanakimbilia karibu na jukwaa kumuona na kumsikiliza Katibu Mkuu huku uwanja ukilipuka kwa shangwe kuu.

Kikundi cha Mapigo Saba kinaitwa kwa ajili ya kuimba wimbo maalum kwa ajili ya mgeni rasmi.

Mkiti Mwalimu Adam anachukua mic kufungua mkutano. Katibu Mkuu ameshaketi jukwaani tayari. Anazungumza mawili matatu na Mkiti wa Kanda ya Magharibi, Mohamed Mambo. Tayari mkutano umefunguliwa watu wanashangilia hapa.

Mapigo saba anasema wana nyimbo 2 kwa ajili ya Dkt. Slaa. Anasema Chadema Kigoma kuna amani.

Mratibu wa ziara, Mwita Waitara Mwikabe anachukua nafasi yake kuendesha itifaki ya mkutano. Sasa wanatambulishwa madiwani wa CHADEMA hapa.

Diwani wa Uvinza anawafurahisha watu kwa kusema CHADEMA ni mpango Mungu, tunasonga mbele, hakuna kurudi nyuma. Watu wanashangilia hapa.

Sasa anapanda Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji anatoa taarifa namna CHADEMA kupitia Halmashauri yake inasimamia shughuli ya maendeleo.

Viongozi wa chama wanaendelea kujitambulisha. Leo kuna kikao cha Baraza la Mashauriano la mkoa, hivyo kuna viongozi wengi, baada ya Katibu wa Mkoa, Msafiri Wamalwa sasa kapanda Katibu wa Kanda ya Magharibi, Christopher Nyawanji.

Anatambulisha wasaidizi wake kwenye ofc ya kanda. Sasa Waitara anatoa taarifa fupi ya ziara tangu ianze Dec 4.

Updates 4.....

Sasa baada ya Mkiti wa Kanda, amepanda Katibu Mkuu Dr Slaa ambaye anashangiliwa mpaka inakuwa shida kusikilizana. Ameanza kwa kutoa dakika moja ya kukaa kimya, kwa sababu ya misiba iliyotokea kwa viongozi wawili wa CHADEMA Mkoa.

Updates 5....

Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, ambaye amemaliza mkutano punde, amewaacha wananchi na hamu ya kuendelea kumsikiliza wakati akishusha nondo za mahesabu ya ruzuku na mapato mengine ya chama.

Sasa anaelekea kwenye kikao cha ndani, Baraza la Mashauriano la Mkoa.

Umati umetanda kila kona pembeni ya barabara wakimshangilia Dr Slaa na kusema CHADEMA ndiyo mkombozi wa Kigoma na Tanzania.Dr Slaa naye anashusha vioo vya gari na kupunga mikono kwa furaha kama heshima kwa wana Kigoma kwa mapokezi makubwa sana waliyompatia!!

Umati uliofurika kumsikiliza Dr Slaa mjini Kigoma leo:

attachment.php


Source:Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene[/QUOTE]
 

Attachments

  • 1479406_371621389649249_607252715_n.jpg
    1479406_371621389649249_607252715_n.jpg
    9.5 KB · Views: 513
Last edited by a moderator:
Watu wameshawasili uwanjani hapa Community Centre mjini Kigoma kwa ajili ya ujio wa Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa.

Wengine tayari wameshaanza kuchukua nafasi zao. Ngoma inachezwa hapa kama maandalizi ya kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa.

Manji wa ngoma hii anaitwa Mapigo Saba, ambaye anajinasibu kuwa ana miaka 61, anazidi kuwahanikiza watu waendelee kujongea hapa.

Anasema vijana makini, wazee makini na akina mama makini wako CHADEMA. Watu wanamsubiri kwa hamu mgeni wao!

Updates 1.....

Kila kitu kiko sawasawa hapa, mathalani kuna jenereta la dharura kama umeme utakatika.

Red brigade wako imara karibu kila kona ya uwanja huu kuhakikisha ulinzi uko sawasawa. Kuna stori inatafutwa na kuandaliwa nje ya uwanja hapa.

Wanahabari tumeshanyaka mpango mzima unaoandaliwa maana inavyoonekana huku ndani mipango yao hawataweza kufanikisha kwa sababu ya uimara wa ulinzi wa Red Brigade na usalama wa Chadema.

Kuna waandishi wa magazeti ya...wameshaandaliwa na tayari wamepelekwa hapo nje ambapo kuna kitu kinaandaliwa.

Update 2....

Watu wametulia kbs hapa Uwanjani, wakiendelea kumsubiri kwa hamu mgeni wao. Watu wanazidi kumiminika uwanjani.

MC anaendelea kuwasisitiza wananchi wengi walioko pembeni mwa uwanja waungane na wenzao wengi pia walioko mbele ya jukwaa.

MC anaomba wimbo wa ''SLAA ANAWEZA''. Anasema huo wimbo unakubalika sana Kigoma anasema kuna siku kwenye harusi moja, Bwana Harusi aliwashangaza waalikwa alipoomba wimbo huo kwa ajili ya kutokea ukumbini.

Anasema maudhui yake ni murua na leo mtu mwenyewe yuko hapa. Waliyempigia kura za kutosha mwaka 2010 kwa sababu wanamuamini na wanaamini katika chama chao, CHADEMA.

Updates 3....

Dkt. Slaa ameingia uwanjani tayari wananchi waliokuwa pembeni na nje ya uwanja, wanakimbilia karibu na jukwaa kumuona na kumsikiliza Katibu Mkuu huku uwanja ukilipuka kwa shangwe kuu.

Kikundi cha Mapigo Saba kinaitwa kwa ajili ya kuimba wimbo maalum kwa ajili ya mgeni rasmi.

Mkiti Mwalimu Adam anachukua mic kufungua mkutano. Katibu Mkuu ameshaketi jukwaani tayari. Anazungumza mawili matatu na Mkiti wa Kanda ya Magharibi, Mohamed Mambo. Tayari mkutano umefunguliwa watu wanashangilia hapa.

Mapigo saba anasema wana nyimbo 2 kwa ajili ya Dkt. Slaa. Anasema Chadema Kigoma kuna amani.

Mratibu wa ziara, Mwita Waitara Mwikabe anachukua nafasi yake kuendesha itifaki ya mkutano. Sasa wanatambulishwa madiwani wa CHADEMA hapa.

Diwani wa Uvinza anawafurahisha watu kwa kusema CHADEMA ni mpango Mungu, tunasonga mbele, hakuna kurudi nyuma. Watu wanashangilia hapa.

Sasa anapanda Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji anatoa taarifa namna CHADEMA kupitia Halmashauri yake inasimamia shughuli ya maendeleo.

Viongozi wa chama wanaendelea kujitambulisha. Leo kuna kikao cha Baraza la Mashauriano la mkoa, hivyo kuna viongozi wengi, baada ya Katibu wa Mkoa, Msafiri Wamalwa sasa kapanda Katibu wa Kanda ya Magharibi, Christopher Nyawanji.

Anatambulisha wasaidizi wake kwenye ofc ya kanda. Sasa Waitara anatoa taarifa fupi ya ziara tangu ianze Dec 4.

Updates 4.....

Sasa baada ya Mkiti wa Kanda, amepanda Katibu Mkuu Dr Slaa ambaye anashangiliwa mpaka inakuwa shida kusikilizana. Ameanza kwa kutoa dakika moja ya kukaa kimya, kwa sababu ya misiba iliyotokea kwa viongozi wawili wa CHADEMA Mkoa.

Updates 5....

Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, ambaye amemaliza mkutano punde, amewaacha wananchi na hamu ya kuendelea kumsikiliza wakati akishusha nondo za mahesabu ya ruzuku na mapato mengine ya chama.

Sasa anaelekea kwenye kikao cha ndani, Baraza la Mashauriano la Mkoa.

Umati umetanda kila kona pembeni ya barabara wakimshangilia Dr Slaa na kusema CHADEMA ndiyo mkombozi wa Kigoma na Tanzania.Dr Slaa naye anashusha vioo vya gari na kupunga mikono kwa furaha kama heshima kwa wana Kigoma kwa mapokezi makubwa sana waliyompatia!!

Umati uliofurika kumsikiliza Dr Slaa mjini Kigoma leo:

attachment.php

Hii picha mwekee Taswira aone aibu ya uchakachuaji wake.

Source:Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene[/QUOTE]
 
Hii picha nimeiweka kumbukumbu siku zitto akifanya mkutano tulinganishe tuone.
Hiki chama kinakufa kabla jogoo hajawika.
who is ZITTO by the way ? huyo hivi sasa anajulikana kwa lile jina lake jipya la MASALIA !
 
kadanganye wajinga, wasiofuatilia mambo, mkutano hauna watu, ndio mana hata ule wa asubuhi haukufanyika, hata huu ni watoto tu ndio wengi wamefata muziki

Mh!
Watoto wa Kigoma kama mababu wa maeneo mengine ya Tz!?
Lakini si mmekuwa mkituambia watu hawatahudhuria?!
Tuangalie picha tena huenda tukakubaliana na Post..
1474529_371625816315473_582508678_n.jpg
 
Acha ujinga wewe. Upumbavu wako usikufanye ukajiona una akili hadi kuwaita waha mbumbumbu. Chadema ilianza kustawi Kigoma kabla ya maeneo mengine, na hiki ndicho kinachowauma. Kama waha ni mbumbumbu vipi Zito mmuone wa maana na mwenye akili? Jitahidi kuepuka kuutangaza ujinga wako kwa jamii.

vizuri!!!!
 
Hii picha nimeiweka kumbukumbu siku zitto akifanya mkutano tulinganishe tuone.
Hiki chama kinakufa kabla jogoo hajawika.

siasa za kgm ngumu sana,zinategemea unatoka eneo gani,zzk hanaushawish sana ujiji na kgm mjin kwasasa wagen ni wengi ambao wanaishi mwanga,suala la mwanga na ujiji ni gumu sana kwa ccm na cdm zzt niwa mwdg asipojipanga kitaifa amekwisha
 
naona mnaanza kujifariji. rest in peace chadema
Hakuna anayejifariji bali ni mtazamo wako tu na kilichoongelewa si hali halisi ilivyo bali ilikuwa ni jambo ambalo linazungumzwa bila ushahidi hivyo kuchukulia kuwa ndio hali halisi ni upotoshaji wa hali ya juu.
 
Hivyo ndivyo hali halisi ya picha ilivyo! Slaa yule wa kujaza uwanja wa mpira wote hayupo tena! Unadai kapiga upande haisaidii leta watu wajae kote! Slaa kwishaa!
Alete watu kutoka wapi? Hapo kila mtu kaja mwenyewe kwa mapenzi yake siyo kama Magamba mlivyozoea kubeba watu.
 
Back
Top Bottom