Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,174
- 45,893
Lake Tanganyika Hotel inaitwa. Ni pazuri sana pale kuliko Hilltop.Hilltop, lake Tanganyika beach
Sent using Jamii Forums mobile app
Lake Tanganyika Hotel inaitwa. Ni pazuri sana pale kuliko Hilltop.Hilltop, lake Tanganyika beach
Hujawahi kufika kigoma mkuu au waliokupeleka walikushushia bulombola ukaambiwa ndio kigoma yote hiyo. Kwa kifupi kigoma mjini ndio kuzuri ila huko kwingine kasuru,kibondo nk ni kubaya na unafika umelowa vumbiSizani kigoma kuna sehemu ya kuitwa mjini.........anyway nenda pale bulombola
Nazareth kuna sana kule ilikua sehemu yangu ya kwenda kulaKawaida mkuu, mji mwema, Nazareth, FFU, Mwanga town Kati na kule maeneo ya gerezani huko
NaamHujawahi kufika kigoma mkuu au waliokupeleka walikushushia bulombola ukaambiwa ndio kigoma yote hiyo. Kwa kifupi kigoma mjini ndio kuzuri ila huko kwingine kasuru,kibondo nk ni kubaya na unafika umelowa vumbi
Nimeishi kigoma miaka kama 4, ni kuzuri hasa hizo sehemu za beach ukienda ka jioni fulani hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujiji kila siku asubuhi ukitembea unakuta njiani nazi na madawa ya kienyeji. Sio kwamba naongeza chumvi ila ni kila siku lazima ukute hivo vituKigoma wakarimu sana tatizo ushirikina tu,
Hahahhaa!watu MNA nyodo!Sizani kigoma kuna sehemu ya kuitwa mjini.........anyway nenda pale bulombola
kama porini!!ukute wanapasifia wenyeweeHajakosea, mji umekaa kiaina sana
The wallet.Sikumbuki vizuri jina lake,ila ipo karibu kabisa na mjini kule stesheni..
Hiko kiwanja wanapiga live band jamaa na mke wake namaanisha..
Wanaoimba kwenye bendi pale the wallet ni mtu na mkewe siyo wewe uende na mkeo.🤣🤣Wallet nini mkuu? Japo sipo na mke
Anyways yawezekana, imechoka kivipi mkuu?Wallet imechoka balaa
Hujawahi kufika kigoma mkuu au waliokupeleka walikushushia bulombola ukaambiwa ndio kigoma yote hiyo. Kwa kifupi kigoma mjini ndio kuzuri ila huko kwingine kasuru,kibondo nk ni kubaya na unafika umelowa vumbi
Nimeishi kigoma miaka kama 4, ni kuzuri hasa hizo sehemu za beach ukienda ka jioni fulani hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kila kitabu na zama zake.Wazee tu wamebaki, imedoda sana
Kwanini?Hivi watu was kigoma wanaishije? Naona Kama wanapata mateso saana.
Atafute sabuni tu maji ya bure ziwa tanganyika aoge mwili mzimaKuliko kuosha macho tu peke yake si ungeoga tu mwili mzima nadhani ungetafuta car wash nzuri pale town