Kigogo serikalini atuhumiwa ushoga

Kigogo serikalini atuhumiwa ushoga

ujue hapa wengi mbashindwa kuelewa na hili ndio tatizo la magazeti ya udaku kichwa na habari ndani ni vitu 2 tofauti kabisaaa.
ukisoma kichwa cha habari hapo inamaanisha kigogo ndio anamegwa lakini ukisoma story ndani huyo kijana ndio anamegwa.

hivi kumbe huko fb ukimtongoza mwanaume hata kama sio SHOGA anakubali na unammega na kumwanzishia ushoga?

isije ikawa huyu kijana ndio tabia yake so akamparamia kigogo bae bila kulaza dam akamnega??

jamani huyo kijana anatumia jina gani huko fb ili tukajaribu kufukunyua kwenye akaunt yake na kupitia marafiki wake wooote najua bila hiyana tutamkuta tu huyo kigogo.

mwisho wa yote msijekutuletea uzushi wenu hapa ili tusahau mambo ya Msingi kuhusu katiba na hasa muungano juu ya serikali 3.

Wewe kweli hamnazo! Unajua maana ya shoga?
 
ujue hapa wengi mbashindwa kuelewa na hili ndio tatizo la magazeti ya udaku kichwa na habari ndani ni vitu 2 tofauti kabisaaa.
ukisoma kichwa cha habari hapo inamaanisha kigogo ndio anamegwa lakini ukisoma story ndani huyo kijana ndio anamegwa.

hivi kumbe huko fb ukimtongoza mwanaume hata kama sio SHOGA anakubali na unammega na kumwanzishia ushoga?

isije ikawa huyu kijana ndio tabia yake so akamparamia kigogo bae bila kulaza dam akamnega??

jamani huyo kijana anatumia jina gani huko fb ili tukajaribu kufukunyua kwenye akaunt yake na kupitia marafiki wake wooote najua bila hiyana tutamkuta tu huyo kigogo.

mwisho wa yote msijekutuletea uzushi wenu hapa ili tusahau mambo ya Msingi kuhusu katiba na hasa muungano juu ya serikali 3.

"Anaemega" na "anaemegwa" wote mashoga. Ushoga hauna mngese au basha, wote mashoga.
 
huyo dogo nimesechi friends wake sijaona jina lolote la kigogo mwenye ving'ora
 
Hili gazeti la Udaku inshu ya Kapuya lilianzan hivi hivi baadaye likamgeuzia kibao yule binti,sitashangaa baada ya muda ukasikia huyo kijana akaitwa tapeli na hao hao Global pumbazika.Hitimisho langu hii kampuni ya Global......... nadhani inanjaa sana.
 
Habari haiko clear... Kwanini huyo jamaa asimegwe au asimege walinzi tu. Kama story ya kutunga.
 
Wewe LEGE kula ban ya miezi miwili kwanza!
 
Last edited by a moderator:
huyo dogo nimesechi friends wake sijaona jina lolote la kigogo mwenye ving'ora
Sasa ulitaka aandike jina lake halisi ...anaweza andika pinduka,bilalifu,swain, na picha akaweka ja Jay Zee na wote hao vimulimuli kama kawa.hatareeee
 
Habari haiko clear... Kwanini huyo jamaa asimegwe au asimege walinzi tu. Kama story ya kutunga.
Sasa unataka amegwe au amege walinzi kwani umembiwa na hao walinzi -------,wamlinde halafu wakimaliza kazi ya ulinzi awapige chuma mchicha.:shocked:
 
serekali kilasiku inadai maadili yameshuka ss kwa vigazeti hivi vya udaku unategemea nn?. Bado wamiliki wake wanajifanya wacha mungu. Wakati wana mitambo ya uzushi na kudhalilisha wa2
 
Wewe kweli hamnazo! Unajua maana ya shoga?

Ninavyojua mimi kwa kiswahili shoga ni mwanaume yule anaefanywa na basha ni mwanaume anaegeuza mwanaume mwenzie demu. Lakini kiingereza wote ni gay mfanyaji na mfanywaji
 
Ninavyojua mimi kwa kiswahili shoga ni mwanaume yule anaefanywa na basha ni mwanaume anaegeuza mwanaume mwenzie demu. Lakini kiingereza wote ni gay mfanyaji na mfanywaji
lugha kweli imekua,enzi zetu shoga ni rafiki lakini sasa ni kinyume chake.
 
Huyo ndiye alikuwa akigongwa sasa ameachwa anasingizia eti alikuwa akimla kigogo
 
ujue hapa wengi mbashindwa kuelewa na hili ndio tatizo la magazeti ya udaku kichwa na habari ndani ni vitu 2 tofauti kabisaaa. ukisoma kichwa cha habari hapo inamaanisha kigogo ndio anamegwa lakini ukisoma story ndani huyo kijana ndio anamegwa..

Hivi anayemega siyo shoga? Akili yako fupi kama ya Mugabe.

Vingenevyo, ni sawa na kusema anayetoa rushwa hahusiki na rushwa bali tuu yule anayepokea.
 
Back
Top Bottom