dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,907
- 56,930
ujue hapa wengi mbashindwa kuelewa na hili ndio tatizo la magazeti ya udaku kichwa na habari ndani ni vitu 2 tofauti kabisaaa.
ukisoma kichwa cha habari hapo inamaanisha kigogo ndio anamegwa lakini ukisoma story ndani huyo kijana ndio anamegwa.
hivi kumbe huko fb ukimtongoza mwanaume hata kama sio SHOGA anakubali na unammega na kumwanzishia ushoga?
isije ikawa huyu kijana ndio tabia yake so akamparamia kigogo bae bila kulaza dam akamnega??
jamani huyo kijana anatumia jina gani huko fb ili tukajaribu kufukunyua kwenye akaunt yake na kupitia marafiki wake wooote najua bila hiyana tutamkuta tu huyo kigogo.
mwisho wa yote msijekutuletea uzushi wenu hapa ili tusahau mambo ya Msingi kuhusu katiba na hasa muungano juu ya serikali 3.
Wewe kweli hamnazo! Unajua maana ya shoga?