wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
kwel mkuu au propaganda, maana glob si ndio wanatoa magazet ya udaku...!!!! Hi si kwel
gazei lenyewe ni la udaku....
Najiuliza baada ya kukili kufana ivyo gazeti hilo likachukua rushwa ili kukaa kimya co.
Hizi hbr ni maigizo tu, kama zile picha za usanii za fumanizi guest zinazotolewa