Kigogo auziwa shangingi la Sh155 Milioni kwa milioni 6

Si afadhali ya huyo mama angalau atatoa hicho kidogo; kuna jamaa wanachukua magari ya serikali bila kulipa hata senti tano!
 
Mzee, manunuzi ya Serikali ni kupitia utaratibu wa Zabuni za Umma (Public Procurements). Wazabuni wanapowasilisha zabuni zao hujumuisha na bei ya faida. Ingekuwa ni ufisadi zaidi iwapo Srikali ingeweza kununua moja kwa moja toka kwa "dealers" nadhani unajua jinsi tusivyokuwa waadilifu kwenye fedha ya Umma!!.

Na hata katika Kuuza magari ya Serikali utartibu ungekuwa wa kutangaza kama zabuni nadhani matatizo kama haya yangepungua, lakini katika kuuza vifaa kama garai, siku zote Serikali imekuwa ikiuza kama "kifaa chakavu" na mara nyingi kuna kuwa na "collusion" kati ya afisa anayetaka kununua, mtendaji mkuu wa Idara/ Wizara husika, Watebdaji wanaohidhinisha wa Wizara ya Miundo Mbinu, Utumishi na Hazina.

Ukichunguza utaona kuwa magari mengi, mazuri na yenye thamani yamekopwa kwa bei ndogo sana na Mawaziri, Watendaji Wakuu (R.C, DC, RAS, DED, CEOs, Makatibu Wakuu na Wakurugenzi wa Idara na sio maafisa wa kawaida. Na wengi wanakopeshana hata zaidi ya mara tano mtu huyo huyo mmoja!.

kaka,

First things first asante kwa kunifahamisha utamaduni wa ununuzi wa serikali kila kona, na hizi habari zao za zabuni ambazo aparently inaonekana no one can offer them a better deal than Manji na yule mwingine ambae jina limenitoka.

Si ndio zabuni hizihizi zilienda kutuletea mitambo uchwara ya tanesco, hapa kuna matatizo makubwa and if i'm honest sijashtuka sana na huyo mama kununua hilo gari hata angepewa bure under the current political weather ningejionea sawa au tuseme ndio hewala.

Hila the price quoted on the market ndio imenitisha mno hilo gari la 155mil na flat za laki unusu dola, hii hali kwangu inatisha.

Najiuliza how is this possible sasa nani wanao ya nunua haya magari. Kwa juuju inaonekana wateja wakubwa ni serikali na mashirika ya umma kupitia jasho la watanzania hila kwa market value ni wachache mno kialali watakaoweza afford comfortably.

Na ni tatizo kwa sababu hata nchi zilizoendelea hilo gari alina thamani hiyo, kutoka jipya hapo ndipo napoona huyu Mkullo and this guy Ndullu need to get the suck if not from the president someone has to say hawa jamaa wanatuingiza kwenye majanga kutokujua wajibu wao. Kwa namna ya kulinda uchumi na kuuweka sawa sawa.

Hayo ya hao wapuuzi wengine ni moja ya matatizo million elfu moja kwenye kupoteza kipato cha taifa hila ni tabia mbaya zilizopo kwa muda mrefu. Ni mfano mmoja tu pia unaoweza kumfanya waziri wa fedha kuwa sucked kwa kutojaribu kurudisha as much money as possible kwenye assets zao ambazo zina depreciate.

The two bozzos have to go kwa kweli hawa jamaa ndio wanao ididimiza Tanzania kushinda JK. They can not control inflation, they do not encourage entepreneurship, the guys can not come up with innovative fiscal policies to manipulate the macro growth. Yaani wao ni one trick ponies taxing and taxing very hard is what they know nothing else.

Along the way inflation seems is beyond control, the sooner they go the better. May be Lipumba should quit politics and be given the govenors of BoT post hawa jamaa hawafai. They know nothing, even i can see that ni tatizo kushinda JK kama wanaruhusu mpaka mayai ya kuagiza for tax purposes, Khe they have to go.
 
mkuu,tsh 155m ni £77,500 na LAND CRUISER V8 bei inaanzia £58,110 sasa ikiwa na few extra kwa ajili ya ''waheshimiwa'' wetu si ajabu ikafika hio £77,500.

nasikitika sana serikali kutumia hela nyingi hivi kwenye gari moja wakati zahanati hazina vitanda,shule hazina madawati,wengine wanasomea chini ya mbuyu etc

trust me my old man used to be a very senior government official..... by chance, i had an opportunity to be driven in this government cars and TRUST me there are no car extras whatsoever for ministers leave alone Regional Commissioners. 155m is simply absurd!!! if u look closely enough most government cars are of standard specs sold from Toyota and Nissan true or false?
 
Back
Top Bottom