Kigogo auziwa shangingi la Sh155 Milioni kwa milioni 6

Huyu mama nilifanyiaga field pale wizara ya afya Dar wakati huo akiwa Katibu mkuu, alikuwa mkali kinoma.

Lakini hebu nasi tuwe fair. Atakapolipa hizo kodi zinazotakiwa kwa ajili ya hili gari, yaani: Sh24 milioni kama kodi ya uagizaji (Import duty), Sh23.7 milioni kama VAT na Sh12 milioni ambazo ni kodi ya ushuru wa forodha, pamoja na hiyo bei aliyonunulia ya milioni 6 atakuwa amelipa jumla ya sh milioni 65.7. Kwa hiyo mwandishi naye kakurupuka. Si kweli ati gari ya milioni 155 imeuzwa milioni 6, huyu mama atailipia jumla ya milioni 65.7. Ndio maana Mzee Mkapa alikuwa anawaita waandishi wa aina hii 'mbumbumbu'.

Wewe Mtu B(second grade or what!!) una uelewa mdogosana wa haya masuala.
Mwandishi amelalamika BASIC price ya milioni 6! hata corolla hupati kwa bei hiyo.
Halafu market price ya the depreciated 3 year old shangingi ni kiasi gani, mtaani hapa ukilipata kwa Ths 40-50 milion unabahati.
KODI uanzoongelea na alizoongelea mwandishi ni for a NEW basic price na si depreciated.
Sasa kwa maana hiyo 25% Import Duty, 18% VAT na 10% Excise Duty ukizikokotoa kutoka say 50 million basic price basi unapata bei ya gari hilo around 76.5 million.Kodi za serikali zilizokosekana hapo ni 26.5
Be careful with figures
 
Kama wakitumia depreciation rate ya viongozi wetu 20% ingetakiwa kuuzwa kwa mil 38.4 kama hakuna factor zingine kama
ajali na uchakavu mwingine , lakini wakati mwingine kuna vitu vingine vinaweza kutumika ambavyo kwa viongozi wakuu wanaweza
kuangalia kwa mfano gari za kiongozi kama rais wanafactor za usalama wakijumuisha pale unakuta thamani ya gari(book value)
baada ya miaka 3 ni zero yaani ni karibu linear depreciation ya 30% on cost hapa hawadili na kodi wanadili na machine cost

kwa ujumla kunaitajika taharifa zingine kujua katika account ya gari inathamani gani kwani ata akienda auditor kuna taarifa
zingine itatakiwa kupewa, lakini pia kuna namna ya uuzaji wa bidhaa za serikali kwa mfano inawezekana walitangaza mnada
ambapo kila mtu atatakiwa kuandika ni kiasi gani atatoa kununua gari hili hivyo basi bei ya kuliuza itategemea highest bid price

hii ndio bongo tz
 
Headache always....

Hata na mie maana tukiitazama ubadhirifu wa haraka haraka bei au cost ya gari ilikuwa milioni 155/3 tuassume straight method unapata average ni milioni 51 kwa mwaka haya tuseme labda alikuwa akilibamiza ukutani kila mwaka na kuligonga gonga na nyundo but matengenezo ya milioni 52 yametokea wapi???? Mie sio headache tu na kizunguzungu naona na kujisikia kutapikatapika kabisa!!!!!
 
Kama wakitumia depreciation rate ya viongozi wetu 20% ingetakiwa kuuzwa kwa mil 38.4 kama hakuna factor zingine kama
ajali na uchakavu mwingine , lakini wakati mwingine kuna vitu vingine vinaweza kutumika ambavyo kwa viongozi wakuu wanaweza
kuangalia kwa mfano gari za kiongozi kama rais wanafactor za usalama wakijumuisha pale unakuta thamani ya gari(book value)
baada ya miaka 3 ni zero yaani ni karibu linear depreciation ya 30% on cost hapa hawadili na kodi wanadili na machine cost

kwa ujumla kunaitajika taharifa zingine kujua katika account ya gari inathamani gani kwani ata akienda auditor kuna taarifa
zingine itatakiwa kupewa, lakini pia kuna namna ya uuzaji wa bidhaa za serikali kwa mfano inawezekana walitangaza mnada
ambapo kila mtu atatakiwa kuandika ni kiasi gani atatoa kununua gari hili hivyo basi bei ya kuliuza itategemea highest bid price

hii ndio bongo tz

Sawa nakubaliana na wewe 100% but je depreciation gani imetumika kwa gari la mkuu wa mkoa? na je vigezo gani vya ziada vinahitakija kuraise hiyo depreciation. Na unapozungumzia bidding na process inatakiwa iwe imetangazwa kwa jamii ili kuruhusu ushindani wa kibiashara but sivyo katika serikali zetu mambo yanafanywa kimya maranyengine hata list ya magari haionekani ili gari liuzwe kwa bei chee
 
Sawa nakubaliana na wewe 100% but je depreciation gani imetumika kwa gari la mkuu wa mkoa? na je vigezo gani vya ziada vinahitakija kuraise hiyo depreciation. Na unapozungumzia bidding na process inatakiwa iwe imetangazwa kwa jamii ili kuruhusu ushindani wa kibiashara but sivyo katika serikali zetu mambo yanafanywa kimya maranyengine hata list ya magari haionekani ili gari liuzwe kwa bei chee

Kuna wakati ambapo mashine za serikali au magari yanauzwa na kipaombele kinakuwa kwa wafanyakazi
wa wizara au taasisi husika (auctional within organization) hii inaweza kufanyika mahususi ili kujenge hari
kwa wafanyakazi husika. na kuhusu factor zinazoweza kuchangia kubadili rate ya depreciation ni matumizi ya
gari au umbali wa kilomita inazokimbia ndio maana kuna nchi au taasisi wanatumia kigezo cha kilometa za gari
inazotumia, kwa mfano kuna taasisi ambazo gari ikifika KM 90,000 wanahesabu kwamba ni zero book value
ata kama imenunuliwa ndani ya mwaka huo, kwa hiyo basi kabla ya kulaumu tungeomba wahusika
watupe pia vitu muhimu kama kilomita ilizokimbia na size ya ingine yake ili nasi tufikilie na tutumie katika
kuchangia tusije tukakurupuka kama watu tusio na sababu ya kumshambulia mtu bali tukafanya kwa chuki tuu.
 
Kuna wakati ambapo mashine za serikali au magari yanauzwa na kipaombele kinakuwa kwa wafanyakazi
wa wizara au taasisi husika (auctional within organization) hii inaweza kufanyika mahususi ili kujenge hari
kwa wafanyakazi husika. na kuhusu factor zinazoweza kuchangia kubadili rate ya depreciation ni matumizi ya
gari au umbali wa kilomita inazokimbia ndio maana kuna nchi au taasisi wanatumia kigezo cha kilometa za gari
inazotumia, kwa mfano kuna taasisi ambazo gari ikifika KM 90,000 wanahesabu kwamba ni zero book value
ata kama imenunuliwa ndani ya mwaka huo, kwa hiyo basi kabla ya kulaumu tungeomba wahusika
watupe pia vitu muhimu kama kilomita ilizokimbia na size ya ingine yake ili nasi tufikilie na tutumie katika
kuchangia tusije tukakurupuka kama watu tusio na sababu ya kumshambulia mtu bali tukafanya kwa chuki tuu.

Nashukuru godwine umesaidia kuonesha jinsi waandishi wa habari wa Tanzania wanavyokurupuka kuandika vitu bila utafiti na kuishia tu kupiga makelele yasiyo na mashiko yoyote. Ndio maana rais mstaafu Mkapa alikuwa anawapuuza sana hawa jamaa.
 
Kuna wakati ambapo mashine za serikali au magari yanauzwa na kipaombele kinakuwa kwa wafanyakazi
wa wizara au taasisi husika (auctional within organization) hii inaweza kufanyika mahususi ili kujenge hari
kwa wafanyakazi husika. na kuhusu factor zinazoweza kuchangia kubadili rate ya depreciation ni matumizi ya
gari au umbali wa kilomita inazokimbia ndio maana kuna nchi au taasisi wanatumia kigezo cha kilometa za gari
inazotumia, kwa mfano kuna taasisi ambazo gari ikifika KM 90,000 wanahesabu kwamba ni zero book value
ata kama imenunuliwa ndani ya mwaka huo, kwa hiyo basi kabla ya kulaumu tungeomba wahusika
watupe pia vitu muhimu kama kilomita ilizokimbia na size ya ingine yake ili nasi tufikilie na tutumie katika
kuchangia tusije tukakurupuka kama watu tusio na sababu ya kumshambulia mtu bali tukafanya kwa chuki tuu.

mkuu umegusa kitu muhimu sana katika uuzaji/ununuzi wa gari,MILEAGE........gari inaweza kuwa ya 2008 ina mileage 100,000miles na gari inaweza kuwa ya 2005 ina 50,000miles, je ipi itauzwa bei ghali provided ni same car/model?
 
Mnaweza kuongea mpaka maneno yakaisha, mwisho wa siku tunasema huo ni ubadhirifu kama ubadhirifu mwingine tuliozoea kuona ukitendeka ndani ya serekali yetu.Naunga mkono wafadhili kupunguza misaada kwasababu moja kubwa haimsaidii mtanzania wa kawaida hasa mkulima anaeteseka kwa jembe la mkono.
 
Mnaweza kuongea mpaka maneno yakaisha, mwisho wa siku tunasema huo ni ubadhirifu kama ubadhirifu mwingine tuliozoea kuona ukitendeka ndani ya serekali yetu.Naunga mkono wafadhili kupunguza misaada kwasababu moja kubwa haimsaidii mtanzania wa kawaida hasa mkulima anaeteseka kwa jembe la mkono.

naheshimu mtazamo wako lakini kwangu mimi nisingependa kuongelea wafadhili kwani daima
ninaona haibu kuambiwa taifa letu linaendeshwa kwa misaada ya wafadhili ningependa ifike siku
wafadhili wakate misaada yao kwa 100% ili tuanze kusimama wenyewe, kwani kenya mbona
waliweza kusimama wenyewe sisi tunashindwa nini. tuna kila rasilimali ya kutuwezesha kuendesha
nchi yetu, sijui tunatatizo gani mpaka kila siku kuongelea wafadhili . ni haibu kubwa kuishi katika
taifa lililoshindwa kujitegemea
 
Hakuna cha kushangaa hapo,vinginevyo kausemi ka kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake hakawezi kusimama!
 
Uyo mama kama kuna mtu amewah sikia Historia yake kama hii nchi watuwangekuwa makini hasa Rais uyo mama angekuwa hana kibaruwa siku nyingi kwa wanafunz wamesoma mkoa wakilimanjaro hawato msahau kwa manyanyaso yake wakat akiwa mkuu wa mkoa hata hvyo naiman Mungu nimwing wa rehema na Tanzania hii bila mafisadi itawezekana! Malizao zitakusanywa nakurud mikonon mwa dola. Jamani njoon vijijini, nendeni mashulen, nendeni ktk mahospital muone vila hali si shwari, bila kusahau idara za mahakama, ndipo utajuwa wahujumu uchumi walipaswa kunyongwa hata kufa. Hili ni taifa letu na hawa watanzania wanategemea wale wanaelimu kuwasaidia sisi tunawanyonga? Au wanadhan Mungu kalala? Mim nina iman kubwa sana hakuna hata sent1 ya walipa kodi na wafuja jasho watanzania itakaa milele ktk mifuko ya watu wezi. Huyo mama awajibishwe naikiwezekana iwe fundisho kwa watanzania walio na uchu kama wake. Tukumbuke Tanzania bila UFISADI INAWEZEKANA!
 
Kuna wakati ambapo mashine za serikali au magari yanauzwa na kipaombele kinakuwa kwa wafanyakazi
wa wizara au taasisi husika (auctional within organization) hii inaweza kufanyika mahususi ili kujenge hari
kwa wafanyakazi husika.

You must be joking!
Na taratibu za uuzaji wa mali za serikali zinasemaje?
Je hatusikii juu ya CAG( Comptroller and Auditor General) anavyolalamika juu ya WIZI wa mali ya umma?
Kama ni shirika binafsi hapo tunakubaliana lakini kama mali hizi zimenunuliwa na KODI za wakulima na wafanyakazi then hizi ni mbinu za kuhalalisha WIZI kama ule wa nyumba za serikali.
Zaidi ya hapo wafanyakazi wa serikali/mashirika ya umma nani asiyefahamu utendaji wao?They pretend to be working and the Govt is pretending to pay them.
Iwe mwanasiasa au mfanyakazi yeyote . kufanya kazi kwa masaa sita kwa siku ni kitu ambacho hakifanyiki.Ukiogeza wizi huu wa mali ya umma then you can see that hawa watu 450,000 nchini are holding the rest of us at ransom.
 
Price

Back to Range Rover homepage
Explore
Accessories
Photos & Videos
On the road price - Includes Government Road Fund Licence for 12 months and Government Vehicle First Registration Fee, and cost of offsetting CO2 for the first 45,000 miles driven.


Models List price (£) CO2 Offset (£) VAT (£) On the road price (£) TDV8 Vogue 55,719.58 140 9,775.43 66,640.00 TDV8 Vogue SE 61,200.43 140 10,734.57 73,080.00 TDV8 Autobiography 65,285.53 140 11,449.47 77,880.00 5.0 V8 Supercharged Autobiography 68,996.70 165 12,103.30 82,270.00 Prices applicable from 1st April 2010.


hio ni landrover.com

Ebu angalia hizo bei zake kwenye hii link hayo ni kama mapya tu halafu temembelea dealers utakuta hizo bei zako ni za autograph tu

Used LAND ROVER RANGE ROVER SPORT Car for Sale - Auto Trader UK

Na ukitaka ya mpaka £25000 yapo ambayo bongo ushuru wake ndio inawazuia wengi kuyapeleka hila si big deal swala ni kwamba hatauza shillingi ngapi haraka haraka hili ageuze, mara nyingi nyumbani watu huendesha haya magari ya kifahari almost twice bei za ulaya that is just ridiculous.

PS. Kumradhi wakuu kwa asubuhi.
 
You must be joking!
Na taratibu za uuzaji wa mali za serikali zinasemaje?
Je hatusikii juu ya CAG( Comptroller and Auditor General) anavyolalamika juu ya WIZI wa mali ya umma?
Kama ni shirika binafsi hapo tunakubaliana lakini kama mali hizi zimenunuliwa na KODI za wakulima na wafanyakazi then hizi ni mbinu za kuhalalisha WIZI kama ule wa nyumba za serikali.
Zaidi ya hapo wafanyakazi wa serikali/mashirika ya umma nani asiyefahamu utendaji wao?They pretend to be working and the Govt is pretending to pay them.
Iwe mwanasiasa au mfanyakazi yeyote . kufanya kazi kwa masaa sita kwa siku ni kitu ambacho hakifanyiki.Ukiogeza wizi huu wa mali ya umma then you can see that hawa watu 450,000 nchini are holding the rest of us at ransom.
kuna minada inayoweka kipaombele kwa kikundi fulani kwa mfano serikali inapotaka kuuza mali zake mfano nyumba
kipaombele kinakuwa kwa mtu ambaye yupo ndani ya nyumba hii ni taratibu ya kiutu katika serikali vivyo hivyo
na vifaa vinaweza kuuzwa kwa kipaombele kwa wafanyakazi wa taasisi fulani hii under disposal rule na wakati
mwingine kuna baadhi ya vitu vinaweza kugaiwa kwa wafanyakazi husika bila kuuzwa kwa mfano baadhi ya fenicha
katika wizara mbali mbali, kwa hiyo si kitu cha kushangaza katika taifa leo cha msingi ni kuwa na taharifa ni mazingira
gani yamepelekea kuuzwa kwa kitu hicho
 
Ebu angalia hizo bei zake kwenye hii link hayo ni kama mapya tu halafu temembelea dealers utakuta hizo bei zako ni za autograph tu

Used LAND ROVER RANGE ROVER SPORT Car for Sale - Auto Trader UK

Na ukitaka ya mpaka £25000 yapo ambayo bongo ushuru wake ndio inawazuia wengi kuyapeleka hila si big deal swala ni kwamba hatauza shillingi ngapi haraka haraka hili ageuze, mara nyingi nyumbani watu huendesha haya magari ya kifahari almost twice bei za ulaya that is just ridiculous.

PS. Kumradhi wakuu kwa asubuhi.

mkuu asante sana.
lakini serikali hainunuia gari used.
na bei niliyokutajia siyo ya used car ni ya brand new.
pia autotrader ndio option yangu ya mwisho kununua used car.

nb:tunazungumzia gari ya serikali sio ya mtu/ndugu/rafiki aliyekutuma gari used.
 
mkuu asante sana.
lakini serikali hainunuia gari used.
na bei niliyokutajia siyo ya used car ni ya brand new.
pia autotrader ndio option yangu ya mwisho kununua used car.

nb:tunazungumzia gari ya serikali sio ya mtu/ndugu/rafiki aliyekutuma gari used.
tazama vizuri wengi hapo ni dealers si wauzaji binafsi, na mengine ni mpya kabisa angalia mileage zilizoenda zingine.

kwa maana hiyo serikali kama inanunua brand new na kuagizia wenyewe kutoka kwa makers it should be even cheaper wanakwepa bei ya dealer na hawalipi ushuru bandarini tanzania.
 
Jamani acheni wivu!!! Huyu afisa ameomba auziwe gari hilo na bado hajapewa na hata akikubaliwa taratibu za serikali kuhusu kukopesha magari zinaeleweka kwa ufupi
thamani ya gari CIF husuka kutegemea depreciation value inayotokana na muda tangu liliponunuliwa. kwa mfano kuanzia miezi 12 ni zero na miezi 72 ni 75% . Baada ya hapo kuna added value [gharama ya matengenezo] hapo ndipo wanapotathmini thamani ya gari pamoja na kodi.
Muombaji akisha pewa thamani ya gari akitaka anaweza kuomba tax exemption hazina na akikubaliwa anakoposhwa. Sasa tatizo liko wapi ndugu zangu????
 
Back
Top Bottom