Kigezo kikubwa kuwa Mwana CCM mzuri ni kwanza lazima ukubali kuliwa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Yes , lazima ukubali kuliwa ubongo. Ukiwa na Ubongo huwezi kupata vyeo au nafasi flani flani. Lazima kwanza uliwe Ubongo. Msikilizwe Msigwa msikilize PM utagundua bongos zao zimeliwa

 
Ukishakuwa akili kubwa ccm unakuwa adui mkubwa lazima tu utolewe nje ya mfumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…