Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
Ni mara chache sana husimama na kuzungumza, michango yake mara nyingi huwa ktk njia ya maandishi. Jamaa ni Mbunge wa NYINYIEM a.k.a MAGAMBA akiwakilisha wakazi wa Kigamboni (jina simjui), Leo akichangia bajeti ya Waziri Mkuu JAMAA KAGOMA KUIUNGA HOJA MKONO. Dah! Hongera zake pia kwa Jirani yake ktk Sitting Plan Esther Bulaya (kwa darasa ampalo)! Jamani Wabunge wa Magamba badilikeni!