Kifungu cha 9(3) cha sheria ya madini (2010) ni msumari wa moto!

Huyu aliyeleta hii posti eti naye ni mTZ???

Tuache ujuaji mwingi, ilimradi tu na wewe uonekane umeposti au una uelewa wa sheria.

Katika wizi mwingi unaotendeka, umeona hilo ndilo la maana saana??? Hata kama MAKOSA hayo yamefanywa na baadhi ya waTZ kwa makusudi mazima, lazima wameshawishiwa kufanya hivyo, na hili jambo halikuanza leo; rejea BOGUS TREATIES ya kina Carl Peters etc.

Sasa, baada ya kuungana kuondoa huu ujinga, mnajitokeza kama mazombie na kuleta ujuaji!!! Sikuwahi kudhani kuwa kutafuta KIKI kunaweza mvua nguo mtu hadharani kwa kiwango hiki.

Pengine mkae chini na kuanza kutafakari kama KUWA MPINZANI maana yake ndio hio!!!
Mwizi ni mimi ninayerejea sheria ambazo sikuzitunga mimi au mwizi ni yule aliyezitunga kwa laana ya ulafi wake sasa anarudi kuvaa Joho la uzalendo na ana uchungu mkubwa na mali zinavyoporwa!

Kama huu siyo usanii wa kisiasa sijui niuiteje!
 
Unasema hao ma proffesa wskamatwe Kwa lipi ,wao walivyoona katika kamati yao ndo hayo na kama nikupitiwa kama binadamu yyt hiyo IPO au unataka kusema ripoti hiyo imepikwa?
 
Labda tujiulize hivi kwanini kamati ya pili haikujiridhisha na kifungu cha 9(3) cha sheria ya madini ya mwaka 2010?

Kifungu tajwa kinamwondelea Mchimbaji wa madini aliyesajiliwa uhaja wa kusajili tena kampuni tanzu katika kufanya kazi za uchimbaji, usafirishaji wa madini.

Kwa lugha rafiki, baada ya African Barrick Gold Ltd kusajiliwa kuwa ni mmiliki wa North Mara Gold mine Ltd, Bulyanhulu Gold mine Ltd na Pangea Minerals Ltd ambapo migodi yote imesajiliwa hawakuwa na uhaja tena wa kusajili kampuni tanzu yake ya Acacia.

Sasa sijui walimeza maharagwe ya wapi hii kamati ya pili ya Makinikia kudai Acacia ilipaswa isajiliwe wakati sheria ya madini (2010), kifungu na. 9(3) kinawazuia wasisajili tena kampuni tanzu.


View attachment 523736View attachment 523737

Halafu anayejadili na kupitisha hivi vifungu anatakiwa kujua kusoma na kuandika. Merci boacoup Tanzanian
 
Huyu aliyeleta hii posti eti naye ni mTZ???

Tuache ujuaji mwingi, ilimradi tu na wewe uonekane umeposti au una uelewa wa sheria.

Katika wizi mwingi unaotendeka, umeona hilo ndilo la maana saana??? Hata kama MAKOSA hayo yamefanywa na baadhi ya waTZ kwa makusudi mazima, lazima wameshawishiwa kufanya hivyo, na hili jambo halikuanza leo; rejea BOGUS TREATIES ya kina Carl Peters etc.

Sasa, baada ya kuungana kuondoa huu ujinga, mnajitokeza kama mazombie na kuleta ujuaji!!! Sikuwahi kudhani kuwa kutafuta KIKI kunaweza mvua nguo mtu hadharani kwa kiwango hiki.

Pengine mkae chini na kuanza kutafakari kama KUWA MPINZANI maana yake ndio hio!!!
Ni vizuri kuungana kuondoa ujinga lakini sharti na sisi tulioungana tuwe na werevu japo kidogo.
Utawezaje kuondoa ujinga wakati ukiwa mjinga zaidi ya ujinga wenyewe!? Na sababu ya ujinga wetu hata wale waliotushika mkono tusianguke shimoni tulikataa kuwasikiliza na kuwafukuza, sasa huu 'muungano' wa sasa hauwezi kuleta matokeo yaleyale kama ya mwanzo!? Kumbuka hii sheria ni ya Tanzania sio ya ACACIA.
Nafikiri umeshasikia fununu za nani atakuwa mwenyekiti wa kujadili haya na 'mpiga bakora' keshasema kuwa hana kosa mpaka mahakama iprove hivyo.
 
wale maprofesa wamelata rubbish report, wakamatwe waseme walipoyatoa mauwongo yao
Sidhani kuna mahali walipoyatoa ila uprofesa na udokta umekuzwa sana wakati hawana ujuzi mkubwa zaidi ya kushinda jioni kwenye mabaa na kulewa

Sasa ukiwakurupua na ulaji kama huu hufyatuka na mambo ya ajabu sana hata unajiuliza kulikoni?
 
MKUU YAN NAZIDI KUCHANGANYIKIWA,KILA SIKU NAPATA IDEA MPYA ZINGINE ZIKO UPANDE WETU NA ZINGINE ZINASABABISHA SWAUMU YANGU KUWA KALI ZAIDI.KWA NIA MOJA TUTASHINDA
Kwa sheria hizi pata maarifa rudisha makinikia ya watu na badala ya kuwaambia waombe msamaha kawapigie magoti wakuangalie kwa jicho la huruma
 
Huyu aliyeleta hii posti eti naye ni mTZ???

Tuache ujuaji mwingi, ilimradi tu na wewe uonekane umeposti au una uelewa wa sheria.

Katika wizi mwingi unaotendeka, umeona hilo ndilo la maana saana??? Hata kama MAKOSA hayo yamefanywa na baadhi ya waTZ kwa makusudi mazima, lazima wameshawishiwa kufanya hivyo, na hili jambo halikuanza leo; rejea BOGUS TREATIES ya kina Carl Peters etc.

Sasa, baada ya kuungana kuondoa huu ujinga, mnajitokeza kama mazombie na kuleta ujuaji!!! Sikuwahi kudhani kuwa kutafuta KIKI kunaweza mvua nguo mtu hadharani kwa kiwango hiki.

Pengine mkae chini na kuanza kutafakari kama KUWA MPINZANI maana yake ndio hio!!!
Mkuu sasa povu la nini kwa wapinzani wakati sheria hii ya madini ilipitishwa na maCCM wenzako. Mtoa mada katoa hoja kwamba kampuni mama ikishasajiliwa affiliations zake au subsidies hazihitaji usajili hivyo kamati ineingia mkenge kulaumu Acacia wakati sheria imeelekeza hivo

Sasa kwanni usije na tafsiri nyingine ya kifungu hiki zaidi unaanza kusema wamehongwa sijui wasaliti sijui mpinzani yaani unaacha kulaumu maccm wenzako waliosaini hii sheria unakuja kulaumu wapinzani kwa kuhoji kipengele kimoja tu cha sheria za maccm???

Kazi kweli tunayo kma ndo maoni ya watanzania wote yapo kma yako
 
Yan unashindwa kusoma between line hicho kifungu cha 9 (2)? na kukitafasri vzr? mbona kinaeleweka?

kama huna cha kupost acha, soma post za wenzako
Kifungu cha 9(2) kimefutwa na kifungu cha 9(3) kama kuna kampuni tanzu kama Acacia basi African Barrick Gold Ltd itabadilishwa na kuwa Acacia bila zengwe
 
Mwizi ni mimi ninayerejea sheria ambazo sikuzitunga mimi au mwizi ni yule aliyezitunga kwa laana ya ulafi wake sasa anarudi kuvaa Joho la uzalendo na ana uchunguzi mkubwa na mali zinavyoporwa


LEAD%20JUNI%204.jpg
 
Duh, watu wamejitoa akili ili kuendeleza ajenda ya "kukosoa". Yaani unakosoa kwa lengo la kukosoa tu, sababu huko upinzani.

Elewa tofauti ya leseni na usajiri. BRELA hawatoi leseni ya uchimbaji madini, ila wanasajiri kampuni. Kamati ilisema kampuni imeshindwa kuthibitisha usajiri wake kisheria.
Mkuu wengine tusio na utaalamu wa sheria mnatuacha njiapanda..... ina maana unaweza pewa leseni ya madini kma hujasajiliwa popote hapa Tanzania??? Embu tusaidie hapa
 
Huyu aliyeleta hii posti eti naye ni mTZ???

Tuache ujuaji mwingi, ilimradi tu na wewe uonekane umeposti au una uelewa wa sheria.

Katika wizi mwingi unaotendeka, umeona hilo ndilo la maana saana??? Hata kama MAKOSA hayo yamefanywa na baadhi ya waTZ kwa makusudi mazima, lazima wameshawishiwa kufanya hivyo, na hili jambo halikuanza leo; rejea BOGUS TREATIES ya kina Carl Peters etc.

Sasa, baada ya kuungana kuondoa huu ujinga, mnajitokeza kama mazombie na kuleta ujuaji!!! Sikuwahi kudhani kuwa kutafuta KIKI kunaweza mvua nguo mtu hadharani kwa kiwango hiki.

Pengine mkae chini na kuanza kutafakari kama KUWA MPINZANI maana yake ndio hio!!!
Mkuu mbona unajidhalilisha kwa hoja mfu? Mikataba hii ilipitishwa bungeni tena kwa hati ya dharula. Kwa huyo unataka kusema walioandaa na kusaini walikuwa vilaza wa sheria kama machifu wetu mbele ya walowezi kina Carl Peters?
 
Kwa kujidanganya na kukana kishabiki kuwa ujinga haupo ,hatuwezi kuuondoa
Ujinga utaondoka baada ya kufahamu na kukiri kuwa upo kisha iwekwe mikakati madhubuti ya kuuondoa.
 
Huu ndio ujinga sasa, tunauondoaje kama hata kamati iliyosheheni maprofesa na PHD zao hawakuona hicho kifungu mpaka wameenda kusoma hadharani? Tuache ushabiki na mihemko tunatakiwa kuanzia pale ushauri wa Bashite(Zero )ulipoishia,Twende mbele sasa ili tuweze kumsaidia Mh Rais!
Maprofesa na madokta wengi tulionao ni repeaters wa std vii, form iv ni chali na wengi hawana form vii ila walipitia mpango wa kando wa certificate za miaka mitatu

Baada ya hapo mbaya zaidi baada ya kuyapata makabrasha na kuajiriwa malengo yakawa yametimia wakaishia baa

 
Huyu aliyeleta hii posti eti naye ni mTZ???

Tuache ujuaji mwingi, ilimradi tu na wewe uonekane umeposti au una uelewa wa sheria.

Katika wizi mwingi unaotendeka, umeona hilo ndilo la maana saana??? Hata kama MAKOSA hayo yamefanywa na baadhi ya waTZ kwa makusudi mazima, lazima wameshawishiwa kufanya hivyo, na hili jambo halikuanza leo; rejea BOGUS TREATIES ya kina Carl Peters etc.

Sasa, baada ya kuungana kuondoa huu ujinga, mnajitokeza kama mazombie na kuleta ujuaji!!! Sikuwahi kudhani kuwa kutafuta KIKI kunaweza mvua nguo mtu hadharani kwa kiwango hiki.

Pengine mkae chini na kuanza kutafakari kama KUWA MPINZANI maana yake ndio hio!!!

Na wewe usituletee masuala ya waislam kuchinja watu kwa kisingizio cha America wamewapa pesa au kawatuma!. Upumbaveu.

Kama wamejimilikisha taifa na hata kukubali kusaini mikataba hiyo na kisha kulazimisha iwe siri huku ina magumashi, basi hawaa sifa ya kuwakilisha taifa katika chombo chochote!.

Wametunga sheria ya madni na kupeleka bungeni kwa hati ya dharura huku wakijua kwamba watu wakipewa muda wa kuisoma itakuwa na upinzani na watu watajua ilichomo. Leo unaseme walishawishiwa katika lipi? Wameingia mikataba huku wajijua siyo mikataba ya familia zao ni ya taifa na taifa lina misingi yake ya kusimamia, nani aliyewashawishi kusaliti tiafa?

Hayo mabunge ya ccm yanayokwenda kusinzia bungeni na kufanay ul..hakah ab a mtupu, yanaposema ndiyoooooo bila kusoma, nani huwa anayasahwishi? Leo nini kinawashawishi kushangaa kama si wendawazimu?

WAkati wapinzani wanatetea mali za umma kisha wanafukuzwa bungeni na kutukanwa kila aina aya matusi na udhalilishaji, nani huwa anashawishi zaidi za vichwa vya watu binafsi wenye wandawazimu kama si ufala na upumbvue?

Ccm inapokataa katiba yenye kuzingati a maslahi ya umma, inalazimisha ibakie na vigezo vya kujua kusoma na kuadika, huwa inashawishiwa na nani?

Huo speaker wa ccm anaposema anawalinda waharifu maadamu wako katika chama chake, anakuwa ni binadamu wa kawaida mwenye uchungu na nchi ama ni kitu kingine? Nani humshawishi kufanay vile?

SASA TUNATAKA WOTE WANAOHUSIKA NA WIZI AU HUJUMA ZA MAISHA YETU HKU KILA SIKU KODI ZIKIONGEZWA WAWAJIBISHWE. WATAELEZA NI KIFUNGU GANI CHA SHERIA KINA EXEMPT UHARIFU WA MTU AKIFANYA KWA KUSHAWISHIWA!

Tanzanai ni ya Watanzania kutoka kwa Mungu na siyo mafisadi ama Ccm.
 
Duh, watu wamejitoa akili ili kuendeleza ajenda ya "kukosoa". Yaani unakosoa kwa lengo la kukosoa tu, sababu huko upinzani.

Elewa tofauti ya leseni na usajiri. BRELA hawatoi leseni ya uchimbaji madini, ila wanasajiri kampuni. Kamati ilisema kampuni imeshindwa kuthibitisha usajiri wake kisheria.
Kampuni nne zimesajiliwa na BRELLA. Tatu ni za migodi yenyewe na moja ya kampuni mama. Kwa hiyo usajili siyo jambo la kutupotezea muda.

Acacia kufanya shughuli za madini nchini inalindwa na kifungu cha 9(3) cha sheria za madini (2010).

Hadi sasa mijadala yote inazungumzia sheria ya makampuni no. 12 badala ya sheria ya madini ya mwaka 2020 katika nafuu za kuisajili Acacia
 
Back
Top Bottom