johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Kiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!
RIP Le mutuz!
Ila nafikiri kuna kaupepo kabaya kanapita tuwe makiniKiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!
Noma sanaHapo kwenye kifo Mungu alitia ufundi Kweli Kweli
Yaani mwamba anajua hutapitisha muda fulani kabla hajakuchukua afu anauchuna tu
HakikaTukiona watu humu wapo kimya na Hz Id zetu tujuliane Khali.....
We pass like a shadow....
TrueHakika
Alikuwa anatumia ID gan?I wishyou a bon voyage Le Mutuz ulituchangamsha sana JF.
Le Mutuz 🤣🤣Alikuwa anatumia ID gan?
R. I. P LE MUTUZ.. Poor Brain 😔...
Hapo kwenye kifo Mungu alitia ufundi Kweli Kweli
Yaani mwamba anajua hutapitisha muda fulani kabla hajakuchukua afu anauchuna tu
Jana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa MembeKiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!