Kifo cha Stan Katabaro kilivyoharibu legacy ya hayati Mzee Mwinyi

Mimi nikiwa Rais hakuna atakayekufa Kwa kuikosoa serikali!!

Yaani naamini katika spinning. Team ya kisaikolojia zaidi!!

Hivi system unashindwaje kipropaganda na mtu mmoja!!?

Kumuua mtu mmoja kisa eti anaikosoa serikali ni uzembe wa serikali yenyewe!!

Stan asingetoweka kizembe Lisa loliondo mbona Bandari imeenda bila mwandishi kwenda !!?

Kumpoteza mtu kisa mawazo kinzani ni uwezo hafifu was dola kama kweli imehusika kumpoteza mhusika!!

Team spinning no njia nzuri zaidi ya ku deal na wakosoaji!!
 
Dah umenikumbusha enzi nanunua magazeti kusoma.
Nikiwa binti kabisa nilikuwa so interested kusoma habari za kichunguzi, zilikuwa makala ndefu ndefu zinasisimua kweli kweli
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Hapo kwenye bold tutake radhi mkuu.

Mwinyi hakuwahi kufanya hivyo nakumbuka serikali ilipiga kimya sana kutoa maelezo. Unakumbuka baada ya kauli ya Mgumia kuwa anapokea maelezo haukupita muda akaondolewa Uwaziri na kupelekwa Mkuu wa Mkoa?
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Unajaribu kuchafua legacy ya mzee wa miaka 98
 
Hapo kwenye bold tutake radhi mkuu.

Mwinyi hakuwahi kufanya hivyo nakumbuka serikali ilipiga kimya sana kutoa maelezo. Unakumbuka baada ya kauli ya Mgumia kuwa anapokea maelezo haukupita muda akaondolewa Uwaziri na kupelekwa Mkuu wa Mkoa?
Nakumbuka mkuu
 
Mkapa aliuza Nbc,TCC na TBL kwa bei ya kutupa huku mashirika hayo yakiwa yanatengeneza faida,ni yeye pia aliyeiingiza nchi katika mikataba mibovu ya uchimbaji wa madini,ni yeye pia ndiye aliyeleta kampuni kutoka Afrika Kusini(Net Group Solutions) kuja kuendesha shirika la umeme ambapo matatizo ya shirika la umeme tuliyonayo hivi sasa yalichangiwa pia na uamuzi huo maana jamaa wakati wakisimamia menejimenti ya shirika hawakuwahi kufanya uwekezaji wowote wa kuimarisha miundombinu ya uzalishaji umeme.
Lakini pia wakati wa mkapa ndiyo ililetwa kampuni ya wahindi kuja kusimamia menejimenti ya shirika la reli ambapo katika jitihada za kulinusuru shirika ilibidi itumike gharama kubwa ili kuvunja nao mkataba.
Je tuseme naye alikuwa Mzanzibari? Hata hivyo lengo lako kubwa lilikuwa ni Uislamu ila hiyo Wazanzibar umelitumia kama geresha tu.
Kwanini waislamu mnajistukia sana? Kwasababu hiyo hali nishaiona kwa wapuuzi wengi wakiislamu ukimkosoa samia tu utasikia kisa ni muislamu aisee hakuna watu wapumbavu kama waislamu
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Hili ndio doa kubwa aliloenda nalo kuzimu muda sasa kakutana na Katabalo.Gazeti la Mfanyakazi enzi hizo tunalipigania kama Peremende.
 
Tatizo la ishu ya Loliondo ni kutendeka kwa unyama mwingi sana. Mzee wetu alitukosea sana na sidhani kama alishawahi hata kuomba msamaha. Kuuza sehemu ya nchi ni kukosa uzalendo.
 
Back
Top Bottom