Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe

Grealish10

Senior Member
Mar 25, 2020
104
294
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospitali ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++, kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumhudumia asubuhi saa 4 mtoto kashalegea anatapika damu nyeusi. Tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari.

Naumia sana, mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe. Nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana masikini nimeganda na wewe masaa 7 hospitali bila msaada.

Kwanini wasingemhudumia mtoto jamani naumia sana mimi jamani
 
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospital ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++ kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumuhudumia asubuhi saa 4 mtoto keshalegea anatapika damu nyeusi tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari naumia sana sana...mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana maskini nimeganda na wewe masaa 7 hospital bila msaada, kwanini wasingemuhudumia mtoto jamani naumia sana mimi jamani
 
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospital ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++ kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumuhudumia asubuhi saa 4 mtoto keshalegea anatapika damu nyeusi tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari naumia sana sana...mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana maskini nimeganda na wewe masaa 7 hospital bila msaada, kwanini wasingemuhudumia mtoto jamani naumia sana mimi jamani
Pole sana, ila kwa Tanzania yetu ya leo usipoitaja hiyo hospitali huu uzi utakuwa hauna maana, hii sio kuwachongea wenye hospitali bali itasaidia kuepusha wengine wasije kuwa wahanga wa kilichokutokea...
 
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospital ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++ kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumuhudumia asubuhi saa 4 mtoto keshalegea anatapika damu nyeusi tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari naumia sana sana...mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana maskini nimeganda na wewe masaa 7 hospital bila msaada, kwanini wasingemuhudumia mtoto jamani naumia sana mimi jamani
Pole sana, hii sio mara ya kwanza kwa matukio kama haya!.
Nilidhani matukio kama haya hutokea wakati wa mgomo wa madaktari...

Hali hii mpaka lini?.

RIP mwanetu.
P
 
Aisee pole sana, kwani si wangemtibu mtandao ukirudi wanaingiza taarifa za kadi tu?

Ila mkuu una moyo wa chuma, mimi niliwahi kuliamsha kisa tu kuagizwa dawa wakati wife anajifungua. Walisanda ndani ya dakika 5 tu. Japo wife alinimind sana alipojifungua kuwa hawagombani na daktari wakati una mgonjwa.

Pole kwa msiba, imani ya dini yangu inasema hapo alipoishi ndo aliandikiwa aishi umri huo. Huwezi zuia MUNGU akipanga jambo.

Pole.... Poleeee....
 
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospital ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++ kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumuhudumia asubuhi saa 4 mtoto keshalegea anatapika damu nyeusi tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari naumia sana sana...mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana maskini nimeganda na wewe masaa 7 hospital bila msaada, kwanini wasingemuhudumia mtoto jamani naumia
Wewe ni sehemu ya huo uzembe pia. Baba wa mtoto yupo wapi? Hospitali ni moja tu hapo ulipo?
RIP chalii mdogo.
 
Japo ni mipango ya Mungu lakini asilimia kubwa sana za vifo vinavyotokea mahospitali yetu ni sababu ya uzembe na dharau.

Asilimia kubwa ya hospitali hasa za Serikali hazina huduma za maana usiku. Ukienda hospitali usiku unakutana na manesi wenye visirani na kama kuna dokta basi kalala fofofo hana hata habari.

Maabara unaambiwa hakuna mtu, mpaka ukija kupata huduma ya maana basi kumekucha na ikiwa ni maradhi ambayo yalihitaji kipimo cha haraka ili kutibiwa yanakuwa yashakumaliza.

Yote kwa yote, Mungu akupe subira katika machungu unayoyapitia. Ikiwa ni faraja yeyote kwako, basi elewa kuwa kijana wako yupo mahala pazuri zaidi. Pole.
 
Mwanangu aliumwa usiku ghafla tukalazimika kwenda hospitali ya karibu wakasema tumpeleke hospital ya ++++, kufika pale saa 8 usiku wanasema network hakuna hadi irudi wamekuja kumhudumia asubuhi saa 4 mtoto kashalegea anatapika damu nyeusi. Tumemlaza kitandani wakaniagiza mavitu mengi kumbe mtoto amekata roho kwa uzembe wa madaktari.

Naumia sana, mwanangu kachomwa chomwa kateseka kafariki kwenye maumivu makali sana kwa uzembe.

Nisamehe mwanangu na ulale salama kama ningekuwa na pesa usingefariki maana maskini nimeganda na wewe masaa 7 hospitali bila msaada.

Kwanini wasingemhudumia mtoto jamani naumia sana mimi jamani
Pole sana mkuu unapitia kipindi kigumu sana yote yataisha japo inauma😞
 
Back
Top Bottom