Chacha wa Mwita
Senior Member
- May 17, 2008
- 167
- 34
chacha wangwe alipigwa risasi kichwani na abiria aliyekuwa amekaa kiti cha nyuma baada ya hapo dereva akiogongesha gari kwenye mti. wala ile gari hai ja roll! insingweza ku roll wind screen ikabaki, iligongeshwa kwenye miti tena kwa upande wa chacha aliyekuwa kakaa kiti cha mbele cha abiria ili kumuongezea michubuko kadhaa! Ila still wakitafuta daktari huru wa kufanya postmorterm watakuta risasi kichwani!
Ndugu zangu wakurya naomba kwa hili msione aibu hata mkiitwa wakorofi bora kujitenga na hii serikali JK na tulianzishe balaa kwa kudai nchi yetu isiyo ya kifisadi, sababu huu ni unafiki tena wa kudharau raia kama vile wote ni wajinga, haya mambo yana mwisho, na hapa hili kundi linalojiita mafia limegonga pabaya saaana, wamekosea saaaana! na mnajua kabisa kuwa FBI yote TZ asilimia kubwa inatokea Mara, sasa kwa nini mnajaribu kucheza mchezo usiochezeka!!!
Hapa piga uwa lazima kieleweke haraka sana, JK kama unataka tittle yako ya kuitwa mkuu wa kaya weka haya mambo wazi kwa haraka sana, otherwise soon utakuwa raia tu na tutangaza raia wetu!
Ndugu zangu wakurya naomba kwa hili msione aibu hata mkiitwa wakorofi bora kujitenga na hii serikali JK na tulianzishe balaa kwa kudai nchi yetu isiyo ya kifisadi, sababu huu ni unafiki tena wa kudharau raia kama vile wote ni wajinga, haya mambo yana mwisho, na hapa hili kundi linalojiita mafia limegonga pabaya saaana, wamekosea saaaana! na mnajua kabisa kuwa FBI yote TZ asilimia kubwa inatokea Mara, sasa kwa nini mnajaribu kucheza mchezo usiochezeka!!!
Hapa piga uwa lazima kieleweke haraka sana, JK kama unataka tittle yako ya kuitwa mkuu wa kaya weka haya mambo wazi kwa haraka sana, otherwise soon utakuwa raia tu na tutangaza raia wetu!