Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ni miezi na Miezi sasa tokea nisikie na kuona gazeti hili la mwanahalisi
Hili gazeti lilileta changamoto kwa jamii na kwa wanaJF kwa ujumla katika
habari zake.
Siku hizi hili gazeti limekuwa jalala sijui ni nini kimelipata
Je Mkurugezi Mkuu Kubenea ndo kalitupilia mbali ? maana nasikia bado yuko india anatanua
Nawasilisha
Hili gazeti lilileta changamoto kwa jamii na kwa wanaJF kwa ujumla katika
habari zake.
Siku hizi hili gazeti limekuwa jalala sijui ni nini kimelipata
Je Mkurugezi Mkuu Kubenea ndo kalitupilia mbali ? maana nasikia bado yuko india anatanua
Nawasilisha