Wana Jf,kama mnakumbuka membe alikana kuitambua serikali ya waliokuwa waasi wa libya,kwa kuwa sasa Gadafi ameuwawa,je membe ataitambua rasmi serikali ya libya na kutuma pongezi ama ataendelea kutoitambua na badala yake kutuma salamu za rambi rambi kwa mabaki ya familia ya gadafi na wafuasi wake? I can see our govt in dilema.