Kifo cha Dk. Reginald Mengi: Kuna nini nyuma ya pazia?

Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt

Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...

Zile pacha mbili inasemekane sio wake....

By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
Watoto ni wa Mengi...Jacky alifanyiwa IVF ili apate mapacha wa kiume wawili na ilikuwa ni wishes ya Mengi mwenyewe
 
"Waswahili" wengi tunayajua hayo, soma post namba 16, labda wanaojifanya Waswahili lakini si Waswahili maana wengi utakuta lugha mama zao si Kiswahili halafu anajiona Mswahili, Kiswahili utakuta kaanza kukisikia anapoanza shule. Waswahili 100% ni Waislam na hayo yapo ndani ya Qur'an.

Ukoo wa Mengi na hata huyo mkewe mdogo si Waswahili. Kumbuka hilo.
Samani lakini, hivi huwezi kuongea jambo bira kuutaja uislamu?
 
Na Mali je Ni haki kuhamishia kwa mtu ambaye hakuhusika kuchuma? Sheria msumeno inakata kote.Ukichukua Mali chukua na Madeni.
Kuhamishia mali kwa mtu ambaye hakuchuma ni discretion ya mwenye mali, ana uwezo wa kuamua kumpa yeyote mali yake kwa kadri atakavyoona inafaa katika wosia. Kwa ambaye hajaandika wosia, urithi unapewa kwa mwenye haki hiyo ambaye ni yule aliyeshiriki kuchuma au wale wanaomtegemea. Sasa kuna mantiki gani kuwapa wategemezi madeni, si watazidi kufilisika?
 
Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt

Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...

Zile pacha mbili inasemekane sio wake....

By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
Wale watoto ni wake mkuu tizama hata vichwa tu! Mimba inawezekana walipandikiza mbegu pengine watoto wasizurike na ugonjwa ule!
 
Who knows? Naongea kutokana na experience, may be mengi Kafa kifo cha kawaida.

Ilaaaaa kwenye sheria kuna kitu kinaitwa causation!!!!!

Kwa kifo kama cha Mzee usione watu wana question mkasema ni wivu, kwani ni mtu gani tofauti na mwanafamiliya ya mengi anataka Mali za mengi.???

Msituchoshe as if tuna akili mgando lazima tuangalie mazingira ambayo Mzee Kafa

Walienda Zanzibar, Mara jack akasema watoto hawajaenjoy, waende Dubai (tetesi)

Kwenye msiba wa kibonde Mzee mengi alikuwa anashikiliwa, je yeye jack alipata wapi ujasili wa kumzuluza Mzee wakati anaumwa.

Usolijua ni usiku wa Giza, iko wazi kwamba Jacky asingeweza safiri mwenyewe kunfata mchepuko wake akamuacha Mzee ndani,

Alitumia akili tu waennde wote, akipata upenyo ndio hivyo tena.

Jack amekuwa faraja ya Mzee muda wote waloishi wote hiyo sio siri ila tukubali, kwamba Mzee hakuwa na uwezo wa kumtimizia haja zake za unyumba.(tetesi)

So ni rahisi sana kuwa na mpango kando.
Mzee kama yule hata stress ya kitu kidogo yaweza muondoa duniani.

Mzee Kafa kifo cha kawaida lakini ambacho kimesababishwa na stress sa mambo mengi.

Note. Wanawake tupunguze tamaa, unapendwa umepewa kila kitu lakini haturiziki, binafisi mwanaume akinitimizia mahitaji muhimu, lazima nimvumilie kwa hali yeyote.
 
Shukrani kwa ma
= bila

Na wewe ukitajwa Uislam unakereka?
Kwanza shukrani kwa marekebisho, pia si kwamba na kereka ila ni kama umezidisha udini kitu ambacho si kizuru. Imekua jambo dogo tu basi lazima utie uislam ndani yake
 
Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.

Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.

Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.

Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Maana ya mirathi Ni kurithi Mali na Madeni ya Marehemu.Wengi hudhani unarithi Mali tu Sio kweli .Unarithi vyote Mali zake na Madeni yake.Wewe mrithi ndio unakuwa mumiliki mpya halali anayetambuliwa kisheria wa Mali na Madeni ya Marehemu na unatakiwa uwe unafanya marejesho ya malipo ya hayo madeni.Kama marehemu alikuwa na Madeni mrithi ndio anatakiwa ayalipe akishindwa hatua husika za kudaiwa Madeni huchukuliwa ikiwemo kufilisiwa aliyerithi nk.Waswahili wengi hudhani mirathi Unarithi Mali tu!!!!!!!

Hii mikopo ya kawaida tu ukienda kuchukua benki au taasisi za kifedha wanapoweka insurance ya kifo au ulemavu huwa inamaana gani? Nilifikiri hapo ndio inapotumika kwa mikopo iliyokuwa kwenye huo utaratibu?

kikubwa tu ni hai warithi kukumbuka kwamba wanarithi kila kitu, mali na majukumu pia.
Swali kubwa nnalojiuliza, huyu mzee kweli hakuacha wosia utakaotoa muongozo wa mgawanyo wa mali?
 
Back
Top Bottom