Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
ww uanona niwe Chama gani?
NSSF, PSPF LAPF hiyo michango si wanakusanya kila siku?
Ni kiongozi gani wa Chama cha siasa hajakopa katika mifuko hii tena wengine zaidi ya mifuko mi3 na kulala mbele
nakushauri KAA NJIA KUU acha siasa za kinafiki wakati huvijui vyama
NSSF, PSPF LAPF hiyo michango si wanakusanya kila siku?
Ni kiongozi gani wa Chama cha siasa hajakopa katika mifuko hii tena wengine zaidi ya mifuko mi3 na kulala mbele
nakushauri KAA NJIA KUU acha siasa za kinafiki wakati huvijui vyama