swala la ccm kurudi tena madarakani ni ndoto mkuu
Sio kweli wazee.
CCM ina mitaji mikuu miwili ya kushindia kura
1. UJINGA
Huu ni mtaji wqo mkubwa sana kisiasa maana kadiri nchi inavyokuwa na wajinga wengi ndivyo nafasi ya kukitoa chama tawala madarakani inakuwa ngumu. Mpaka sasa CCM imefanikiwa kuongeza idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika na huu ni mtaji wao mkubwa sana. Wanafunzi wanaotoka sekondari za kati hawajui hata kujieleza sembusa kuinyima kura CCM?
2. VIJIJINI
Mabadiliko yoyote ya kisiasa huletwa na maendeleo. Kura nyingi za CCM zinatoka vijijini. Ni kura hizi ndizo zimemrudisha mugabe madarakani kwa kishindo. CDM hawajafanya juhudi za kutosha kufika vijijini nje ya vijiji vya kaskazini. Katika uandikishaji CCM wanahakikisha watu wa kijijini wanatoka kwa wingi kwenda kupiga kura na mijini mtapewa vichapo na polisi ili msijitokeze.
3. WIZI
Mpaka sasa CDM hawajapata dawa ya kuwadhibiti CCM kwenye wizi wa sanduku la kura zaidi ya kulalama barabarani.
4, USALITI
Chukulia mfano mpaka sasa sijapewa sababu za kutosha kwa nini Mgombea wa Igunga mwalimu Kashindye hakuwakilisha vielelezo muhimu kwenye rufani ya kesi iliyomnyanguanya ubunge Dr. Kafumu. Nilishangaa kuona akipokea kwa mikono miwili kushindwa kwake kwenye mahakama ya rufani. Huu ni usaliti. Tuna wagombea wengi tu ambao wamekuja CDM kwa masilahi yao wenyewe. Hawa wako tayari kuuza nafasi zao kwa CCM kwa gharama yoyote.
Mgombea yeyote wa CCM hata kama amebobea kwenye kuuza unga bado 2015 atashinda kwa kishindo. CDM wataongeza idadi ya viti bungeni.
mkuu suala la CCM kurudi madarakani halipo tena hata wasimamishe malaika, we don't need, They are tired and out of ideas.
50 years after independence, 70% of Tanzanians are dirt poor. Enough is enough
Sio kweli wazee.
CCM ina mitaji mikuu miwili ya kushindia kura
1. UJINGA
Huu ni mtaji wqo mkubwa sana kisiasa maana kadiri nchi inavyokuwa na wajinga wengi ndivyo nafasi ya kukitoa chama tawala madarakani inakuwa ngumu. Mpaka sasa CCM imefanikiwa kuongeza idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika na huu ni mtaji wao mkubwa sana. Wanafunzi wanaotoka sekondari za kati hawajui hata kujieleza sembusa kuinyima kura CCM?
2. VIJIJINI
Mabadiliko yoyote ya kisiasa huletwa na maendeleo. Kura nyingi za CCM zinatoka vijijini. Ni kura hizi ndizo zimemrudisha mugabe madarakani kwa kishindo. CDM hawajafanya juhudi za kutosha kufika vijijini nje ya vijiji vya kaskazini. Katika uandikishaji CCM wanahakikisha watu wa kijijini wanatoka kwa wingi kwenda kupiga kura na mijini mtapewa vichapo na polisi ili msijitokeze.
3. WIZI
Mpaka sasa CDM hawajapata dawa ya kuwadhibiti CCM kwenye wizi wa sanduku la kura zaidi ya kulalama barabarani.
4, USALITI
Chukulia mfano mpaka sasa sijapewa sababu za kutosha kwa nini Mgombea wa Igunga mwalimu Kashindye hakuwakilisha vielelezo muhimu kwenye rufani ya kesi iliyomnyanguanya ubunge Dr. Kafumu. Nilishangaa kuona akipokea kwa mikono miwili kushindwa kwake kwenye mahakama ya rufani. Huu ni usaliti. Tuna wagombea wengi tu ambao wamekuja CDM kwa masilahi yao wenyewe. Hawa wako tayari kuuza nafasi zao kwa CCM kwa gharama yoyote.
Mgombea yeyote wa CCM hata kama amebobea kwenye kuuza unga bado 2015 atashinda kwa kishindo. CDM wataongeza idadi ya viti bungeni.
umeandika ujinga mtupu. Watz hawawezi kuwapa dola watu wanaopanga mipango haramu ya kulisha watu sumu, wanamwagia watu tindikali na wanapora wake za watu. Ccm ni chama pendwa cha watz wote
swala la ccm kurudi tena madarakani ni ndoto mkuu
Hayo aliyosema ni kweli kabisa mkuu. Tuache ushabiki wa majukwaani kama hapa jf na kuelimisha watanzania popote na wakati wowote tunapopata wasaa huo. CCM wanatumia sana mtaji wa ujinga na hofu kwa wananchi wasiojua haki zao. Na pia wanatumia rushwa kwa wagombea wachumia tumbo.
Kama mambo hayo mawili yakichukuliwa kwa umakini mkubwa tunapoelekea kwenye uchaguzi wa 2015, ccm itakuwa ndio imefika mwisho wa uhai wake.