utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
chadema ni wauwaji, mnatamani kuuwa watu kwa sumu na tindikali ila ccm ndio inawalinda na kuwaokoa
Duh!ama kweli mzigo mzito mpe mnyamwezi abebe na ukipenda chongo utaita kengeza
Kuna ugonjwa unaumwa wewe si bure
chadema ni wauwaji, mnatamani kuuwa watu kwa sumu na tindikali ila ccm ndio inawalinda na kuwaokoa
nina alerge na wauwaji wa chadema
Kidumu na nani?
Sema vitu vyenye mashiko au povu tu mkuu?
na watanzania woooooooooooooooote ukiwamo wewe
wape ukweli haokidumu chama cha mapinduzi? ''kimetobokaaaaaaaaaaaaaaaaaa''
wape ukweli hao
Baba wa democrasia choka mbaya mkuu!ccm ni baba wa demokrasia hapa nchini
chadema ni wauwaji, mnatamani kuuwa watu kwa sumu na tindikali ila ccm ndio inawalinda na kuwaokoa
Kidumu kimetoboka yamebaki mapinduzi, are you there?
Ndugu zangu wana jf, Kwanza kabisa natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wale wapenda haki na mnaojadili mada kwa tafakuri ya hali ya juu.
Leo nimewaletea mtiririko wa picha unaoonyesha jinsi ccm inavyotumia mbinu za kutoa nguo na chakula ili tu kupata kura [ hii pia ni rushwa mbaya sana] na jinsi hawa Wanachama wa ccm walivyokosa Adabu na nidhamu[ utajionea mwenyewe kwenye picha acha haraka mkuu] na utumie muda wako kutafakari kwa kina kama na wewe ulipewa kipande cha kanga ukauza utu wako na sasa unataabika?
Kama yupo mtu anayesoma thread aliiipa ccm kura akidhani ni chama makini basi atuombe radhi sisi waungwana na aache kejeli na dharau zake hapa sisi ni watu makini ni tunawafuma kila kukicha. Tuelezeni hapa Mh Nape alikuwa anagawa nini hapa [ tizama picha] na je huo msosi kwenye kampeni zenu ni wanini? Kuna watu wanatetea ccm utazani ni watoto wa Baba wa Taifa, sikatai kutetea ila kwenye ukweli kuweni wastaarabu maana sio heri kuchekelea mtu anaumwa kisa siasa!. Nataka niwaone leo mtakavyotokwa na mapovu humu!. Kazi kwenu.
Nawakilisha.
kuna uhusiano wowote wa uzi huu na ulichoandika!!!?
sishangai kwenye ccm watu wapo wa kila aina wenye njaa wenye kushiba wapo mbona cdm hatuwaonagi watu kama hawa huwa naona wote mmenona kwenye picha kuna nn huko cdm au nyie sio wa tz?
ndio nimesema hivyo, kwani ww umesema nini. hamkutaka kumuua denis msaki mhariri wa mwananchi kwa tindikali?? lwakatatare yuko wapi siku hizi.
jIBU MADA NDIO MBINU YENU?