Rip ccm shetani awatangulie
Maisha kwa sasa yamepanda sana wanaokula rushwa na kulipwa ushuru pale lumumba hawataweza kujua hili maana wanalipwa kwa kodi zetu. Umeme umepanda tena kwa asilimia kubwa mno (66 %). Tunatakiwa kulipia card za simu. Maisha kila kona yamepanda nyie wenzangu mnakuja hapa JF eti ccm imefanya makubwa. Kwa mali asili tulizonazo hatuhitaji kupata shida yoyote. Tuungane tumwondoe huyu mkoloni mweusi
Nimegundua kwa nini website nyingine zinasema jf ni pro-chadema,,,
badala ya watu ku post threads zenye kukomboa jamii kifikra mna post upuuzi kama huo,mnakesha kugombana na watu mnaodai ni buku saba fc,sikatai ila haina mantiki kwani hiyo ni siasa uchwara,,,nawashauri nyie CDM na wenzenu wa magamba m post vitu vya kiukombozi na kuleta majibishano yenye tija katika maendeleo na ukombozi wa taifa
baada ya ushindi wa kata nne chadema arusha.nimebahatika kukutana na m/kiti wa ccm wilaya dr soileli na kukiri ccm arusha haipo tena.akiongea kwa uzuni anaonyesha kukata tamaa kabisa.nikamuuliza swali la kizushi nasikia sombetini imetangazwa vp mtashiriki kugombea akasema ni lazima lkn kushinda ni ndoto.
ccm kwishineykwa mwenye macho haambiwi tazama,,,,,, hata aliye pata ziro katika shule za kata anajua ccm ina chuja,,,,,,,,,, kimekuwa kama mwana ume aliyefulia anayehangaika kunyoosha nguo zake kuukuu aonekane smart,,,,,, sio siri kuna shida,,,,,, kinachokera badala ya kutafuta majembe ya kukihuisha chama,wanaletwa vilaza wa siasa kina mwigulu: Kwa ninavyo mtambua mwigulu zaidi ya siasa za shari kingine anachokijua ni kufaulu darasani tu.... Simaanishi mwigulu atoke ccm,,,hasha kwani ataenda wapi kwa siasa za sasa?bali watu wa aina hii watuachie chama chetu tawala ili kirejeshe heshima kwa kuachia nyaraka wanazo pwaya;
Kwa kwa kwa kwa kwaNdugu zangu watanzania jana nikiwa safari toka arusha kuja dodoma nilishuhudia karibu kila kijiji bendela za chedema isipokuwa mpakani mwa mkoa wa tanga na pwani nyumba moja tu ilikuwa inapepea bendela ya ccm lakini kwa uzoefu wangu kwa vyovyote ile nyumba inauzwa bangi au gongo maeneo mengi ya hivyo ujilinda kwa kuweka bendela ya cha tawala ili polisi wasiende ni hayo ndungu zangu.