Askofu Mayalla, ameaga dunia. Mazishi yake ni Jumatano. Tunasikitika kumpoteza. ingawa wengine wanafurahi maana wamesubiri kiti chake kwa hamu kubwa.
Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.
Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.
Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.
Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!
Tunaomba kanisa lisifanye makosa ya kumpatia Kiti hicho, Askofu Severine NiweMugizi wa jimbo katoliki la Rulenge-Ngara. Kuna sababu nyingi za kumzuia Askofu huyu kuwa Askofu Mkuu. Sababu nyingi na za msingi tulizieleza wakati wa kumsaka Askofu mkuu wa jimbo la Tabora. Mengi halijitokeza hadi mtoto wake Mkunde wa kule Maji ya chai Arusha.
Sababu mpya ni ile ya ukabila. Wakati wa uchaguzi mdogo wa Biharamulo, Askofu Severine, alihubiri makanisani na kuwashawishi watu wasimchangue Mkukasa, kwa vile si mzaliwa wa Biharamulo. Ukabila kama huo, hauwezi kumruhusu kwenda Mwanza, ambako hakuna wasubi. Kule ni Wasukuma, wakelewe, wajita na mchanganyiko wa makabila mengine mengi.
Ujumbe huu ni wa watu wa Mwanza na watanzania wenye nia njema, kumkataa kwa nguvu zote Askofu Severine Niwemugizi. Ni bora dunia yote ikafahamu kwamba Askofu huyu ni mkabila.
Mungu, amlaze mahali pema Askofu Mayala!