- Thread starter
- #21
kwa walio na taarifa zitakazosaidia upelelezi ila hawana makaratasi ninaomba mnitumie inbox au mzilete hapa kwa uzi kwa kutumia utambulisho bandia. ikiwezekana ni vyema utumie public internet (mfano kwenye grocery stores, au penginepo ambapo sio rahisi mtu kupata data binafsi akimuamua).