Kifo cha Andrew Sanga, What is next?

Kifo cha Andrew Sanga, What is next?

kwa walio na taarifa zitakazosaidia upelelezi ila hawana makaratasi ninaomba mnitumie inbox au mzilete hapa kwa uzi kwa kutumia utambulisho bandia. ikiwezekana ni vyema utumie public internet (mfano kwenye grocery stores, au penginepo ambapo sio rahisi mtu kupata data binafsi akimuamua).
 
Duh!,ama hakika kuishi ughaibuni sio mchezo,inabidi uishi kimachale kama jasusi.

Unaweza ukajifanya mjanja na mwenye kiherehere cha kwenda kureport polisi kuhusu jambo fulani, kumbe ndio unajipeleka mwenyewe kuhojiwa kuhusu documents zako za ukaazi.

Nimejifunza kitu hapa.

Manake kama huna makaratasi halafu wewe ndio witness Hapo inakuwa shiiidar mkuu. Unaweza ukaishia mikononi mwa ICE
 
Manake kama huna makaratasi halafu wewe ndio witness Hapo inakuwa shiiidar mkuu. Unaweza ukaishia mikononi mwa ICE

Nope, kuna jamaa hana hata driving license alikuwa witness kwenye kesi na alipoojiwa jamaa hata hakugusia hilo suala. Huu ni Uwoga tu, jamaa wanajua upo. Hiyo itakuwa witness intermidation wakifanya hivo. Kuna visa ya kusaidia serikali kwenye mambo ya muhimu kama haya na hili linaweza kuwa moja ya sababu ya kupewa visa hiyo sema wabongo waoga mwanangu,
 
Niliona pakawa,picha zao zilikuwa zinaenda na caption ya #RIPDREW.
Mkuu kwani huyu marehemu alikuwa nani?! Meaning alikuwa kiongozi wa ngazi yoyote au! Mimi hapana fahamu yeye! Nauliza tuuu maana coverage yake ilikuwa kubwa kushinda ya mama yetu kule ng'ambo ya pili
 
Nope, kuna jamaa hana hata driving license alikuwa witness kwenye kesi na alipoojiwa jamaa hata hakugusia hilo suala. Huu ni Uwoga tu, jamaa wanajua upo. Hiyo itakuwa witness intermidation wakifanya hivo. Kuna visa ya kusaidia serikali kwenye mambo ya muhimu kama haya na hili linaweza kuwa moja ya sababu ya kupewa visa hiyo sema wabongo waoga mwanangu,

Ukiwa cross examined na defense attorney na akikutupia hilo swali kuwa "are you a citizen or legal permanent resident of US?" Utajibu vipi?
 
Nasikia mkenya Wamemshot huko Houston kwenye car theft. Du akishinda Trump itabidi turudi Kwetu maana tutasubiliwa kila siku.
 
Ukiwa cross examined na defense attorney na akikutupia hilo swali kuwa "are you a citizen or legal permanent resident of US?" Utajibu vipi?

U do not have to be a Citizen or Permanent Residence to know the truth. And asking that question it can be considered discrimination. Trust me being a witness does not require anything but the true information u know.
The defense lawyer can go against ur personal characters but not ur gender,sexuality, immigration status, or nationality. U know something say something.
 
Ukiwa cross examined na defense attorney na akikutupia hilo swali kuwa "are you a citizen or legal permanent resident of US?" Utajibu vipi?

Easy....hapo prosecuting attorneys watapinga hiyo line of questioning na most likely kama key witnesses ni illegals basi wanaweza kupewa immnunity flani ili kuwezesha kesi ya upande wa mashtaka.
 
kwa walio na taarifa zitakazosaidia upelelezi ila hawana makaratasi ninaomba mnitumie inbox au mzilete hapa kwa uzi kwa kutumia utambulisho bandia. ikiwezekana ni vyema utumie public internet (mfano kwenye grocery stores, au penginepo ambapo sio rahisi mtu kupata data binafsi akimuamua).
MKUU UMEKUWA WILLY GAMBA au JORAM?
 
kwa walio na taarifa zitakazosaidia upelelezi ila hawana makaratasi ninaomba mnitumie inbox au mzilete hapa kwa uzi kwa kutumia utambulisho bandia. ikiwezekana ni vyema utumie public internet (mfano kwenye grocery stores, au penginepo ambapo sio rahisi mtu kupata data binafsi akimuamua).
...watu wakuamini wewe kama nani sasa...je si mmoja wa wahalifu wanaotafuta kujua nani anajua nini?
 
[QUOTE="kibebi, post: 16144732, member]

2. Watanzania wengi wameuawa vifo vya kikatili kama hivi huko Marekani ila watanzania hata wale ambao wana taarifa za wahusika waliamua kukaa kimya kuwalinda wauaji. Kumbuka leo ni Andrew kesho inaweza kuwa wewe. Tena bora ya Andrew amepata wa kumsafirisha akazikwa kwao, wewe unaweza usipate hata wa kulipia jeneza lako lije Tanzania uombolezwe na nduguzo. Hivyo basi kupatikana kwa wauaji ni njia moja wapo ya kutuma salamu kwa wengine wenye nia ya kujeruhi au kuua kwamba hakuna atakayewafichia siri.[/QUOTE]

Watanzania wengi wameuawa vifo vya kikatili Marekani?

Una takwimu?
 
kwa walio na taarifa zitakazosaidia upelelezi ila hawana makaratasi ninaomba mnitumie inbox au mzilete hapa kwa uzi kwa kutumia utambulisho bandia. ikiwezekana ni vyema utumie public internet (mfano kwenye grocery stores, au penginepo ambapo sio rahisi mtu kupata data binafsi akimuamua).
Mkuu kuna mtu ngoja nimtafute nipate mawili matatu then ntakujia kwa njia ninayojua mimi
 
[QUOTE="kibebi, post: 16144732, member]

2. Watanzania wengi wameuawa vifo vya kikatili kama hivi huko Marekani ila watanzania hata wale ambao wana taarifa za wahusika waliamua kukaa kimya kuwalinda wauaji. Kumbuka leo ni Andrew kesho inaweza kuwa wewe. Tena bora ya Andrew amepata wa kumsafirisha akazikwa kwao, wewe unaweza usipate hata wa kulipia jeneza lako lije Tanzania uombolezwe na nduguzo. Hivyo basi kupatikana kwa wauaji ni njia moja wapo ya kutuma salamu kwa wengine wenye nia ya kujeruhi au kuua kwamba hakuna atakayewafichia siri.

Watanzania wengi wameuawa vifo vya kikatili Marekani?

Unataka takwimu?[/QUOTE]
hivi NGABU unawajua Watanzania wote waishio USA?
 
Balozi zetu ni majanga sana. Kama wewe umewahi kuwa nje ya nchi utaniambia, yaani unaweza kuwa upo hata UK ila balozi wa UK hajui hata kama upo. Niliwahi kuishi na jamaa wa U.S, yaani wao walikuwa wanawasiliana na balozi na ubalozi uliweza kumpatia taarifa mablimbali. Ila balozi zetu hawana ushirikiano ni wazembe, wavivu, wabinafsi na wanajiona wao ni wao na pia ni waongo waongo, na wanakuwa wanawaona watanzania wanao wakontact kama vile ni masikini sana watahitaji msaada, yaani kwa ufupi wanakukwepa wakati huo huo ni kodi zetu ndizo zinawafanya wanye
Hahahaaaa....waongo waongoooo
 
Back
Top Bottom