Kifaa kinachobadilisha hewa kuwa maji

Quimica

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
1,029
1,254
Wenzetu wameendelea bwana. Huwezi kuja kusikia eti wamekufa kisa kukosa maji labda kama Hewa nayo imeondoka which is almost impossible.

KaraPure ndicho kisambaza maji cha kwanza duniani ambacho hubadilisha hewa kuwa maji safi ya kunywa, na kuifanya kuwa adimu yenye madini na alkali yenye kiwango cha pH cha 9.2+ (sawa na maji safi ya chemchemi ya milimani, of course kama Maji ya Moshi Mjini

Kifaa hichi kina kamata matone ya maji angani (yasiyoonekana kwa jicho letu) na, pamoja na teknolojia ya msingi wa desiccant, huchota matone hayo kutoka angani. Kisha maji yaliyonaswa husafishwa kupitia mchakato wa uchujaji wa hatua nyingi (Multistage Filtration Processes), ambapo hubadilishwa kuwa alkali ya kiwango cha pH ya 9.2+. Baadaye pia inaingizwa na madini 7 ya kipekee kuhakikisha wewe na familia yako mnakunywa maji yenye afya.

Tembelea account yao ya Instagram @ karapure Kujua namna yakukiagiza.

Video ya namna kinavyofanya kazi link ya Twitter hii hapa



Maestro De Quimica !!OP
Welcome to the world
karawaterinc-20220122-0001.jpg
 
Wachawi wa bongo wana sayansi ya kuharibu, kudhuru na kuuwa, hawana jema. Je ni lini wachawi wetu wataanza kufanya vitu vya maana na vyenye faida?

Tulikuwa na imani na wanasayansi wanaosoma kwenye vyuo vyetu mbalimbali nchini, lakini sasa imani imekwisha.

Anayesomea engineering na anayesomea political science, wote wana mawazo sawa, kuwa wanasiasa.

Bora tu Mshana Jr atusaidie kwenye mapinduzi ya teknolojia, tuendeleze uchawi wetu ukawe na tija na faida kwa taifa.
 
Wachawi wa bongo wana sayansi ya kuharibu, kudhuru na kuuwa, hawana jema. Je ni lini wachawi wetu wataanza kufanya vitu vya maana na vyenye faida?

Tulikuwa na imani na wanasayansi wanaosoma kwenye vyuo vyetu mbalimbali nchini, lakini sasa imani imekwisha.

Anayesomea engineering na anayesomea political science, wote wana mawazo sawa, kuwa wanasiasa.

Bora tu Mshana Jr atusaidie kwenye mapinduzi ya teknolojia, tuendeleze uchawi wetu ukawe na tija na faida kwa taifa.
Umenchekesha unakuta mtu and PhD ya physics lakini mawazo na arguements zake sawa na msukuma. Tena kuna muda msukuma anatoa point kuliko yeye
 
Wenzetu wameendelea bwana. Huwezi kuja kusikia eti wamekufa kisa kukosa maji labda kama Hewa nayo imeondoka which is almost impossible.

KaraPure ndicho kisambaza maji cha kwanza duniani ambacho hubadilisha hewa kuwa maji safi ya kunywa, na kuifanya kuwa adimu yenye madini na alkali yenye kiwango cha pH cha 9.2+ (sawa na maji safi ya chemchemi ya milimani, of course kama Maji ya Moshi Mjini

Kifaa hichi kina kamata matone ya maji angani (yasiyoonekana kwa jicho letu) na, pamoja na teknolojia ya msingi wa desiccant, huchota matone hayo kutoka angani. Kisha maji yaliyonaswa husafishwa kupitia mchakato wa uchujaji wa hatua nyingi (Multistage Filtration Processes), ambapo hubadilishwa kuwa alkali ya kiwango cha pH ya 9.2+. Baadaye pia inaingizwa na madini 7 ya kipekee kuhakikisha wewe na familia yako mnakunywa maji yenye afya.

Tembelea account yao ya Instagram @ karapure Kujua namna yakukiagiza.

Video ya namna kinavyofanya kazi link ya Twitter hii hapa



Maestro De Quimica !!OP
Welcome to the worldView attachment 2091016

GREAT INNOVATION
 
Wachawi wa bongo wana sayansi ya kuharibu, kudhuru na kuuwa, hawana jema. Je ni lini wachawi wetu wataanza kufanya vitu vya maana na vyenye faida?

Tulikuwa na imani na wanasayansi wanaosoma kwenye vyuo vyetu mbalimbali nchini, lakini sasa imani imekwisha.

Anayesomea engineering na anayesomea political science, wote wana mawazo sawa, kuwa wanasiasa.

Bora tu Mshana Jr atusaidie kwenye mapinduzi ya teknolojia, tuendeleze uchawi wetu ukawe na tija na faida kwa taifa.
Hii hamu haiwaji kuniisha Buji.. Uchawi kwa manufaa ya jamii yote.. Tuvute subra.. Muda utatoa kibali.. Maono hayafi
 
Watu wanapiga kazi. Kuna wale wa milimani huwa wanasimamisha kitu kama shuka. Ukungu ukija ukipiga pale una kuwa maji.

1643072384006.png
 
Back
Top Bottom