Nauliza Nina TV inamiaka nane ndani sijaitumia but niliyokuwa naitumia,,now imeungua,,je naweza itumia hii iliyokuwa ndani bila kuitumia muda?haiwezi ungua,nyaya ndani?
Ni TV aina gan uneitunza sehem zipi..
Mara nyingi km mende na wadudu wengine walifanya km nyumba yao hapo inaweza kuwa tatizo..
Upande wa Electronic components zitakuwa Salama.
Muhimu jaribu kukagua nyaya zake(Power cable na connectors nyingine) au zibadirishwe kabisa..
Ukihitaji kubadirishiwa nicheck nipo Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.