Kifaa cha kupimia madini ardhini (gold detector machine) kinauzwa kwa bei ya 5.5mil

STEPHANO MAGEMBE

New Member
Aug 9, 2019
2
0
KIFAA CHA KUPIMIA MADINI ARDHINI(GOLD DETECTOR MACHINE)
BEI: 5,500,000 (MIL 5.5)
NAME : EQUINOX 800
MAHALI KIFAA KILIPO: DAR ES SALAAM
KIPO KWENYE HALI NZURI
TEL : 0759707883/ 0683126500
IMG-20200426-WA0008.jpg
IMG-20200426-WA0009.jpg
IMG-20200426-WA0010.jpg
IMG-20200426-WA0013.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200426-WA0012.jpg
    IMG-20200426-WA0012.jpg
    80.7 KB · Views: 79
  • IMG-20200426-WA0012.jpg
    IMG-20200426-WA0012.jpg
    80.7 KB · Views: 50
  • IMG-20200426-WA0011.jpg
    IMG-20200426-WA0011.jpg
    83.3 KB · Views: 48
  • IMG-20200426-WA0010.jpg
    IMG-20200426-WA0010.jpg
    50.9 KB · Views: 49
Kifaa cha kupimia madini ardhini alafu kinaitwa gold detector machine?

Sema kifaa cha kupimia dhahabu sio madini.
 
Kifaa cha kupimia madini ardhini alafu kinaitwa gold detector machine?

Sema kifaa cha kupimia dhahabu sio madini.
Vifaa hivi vya kupima uwepo wa madini ya dhahabu ardhini,viepukeni Kama ilivyo corona. Vimempotezea ndugu yangu zaidi ya 300milion baada ya kumdanganya chini ya ardhi Kuna dhahabu.na kumbe hakuna
 
Vifaa hivi vya kupima uwepo wa madini ya dhahabu ardhini,viepukeni Kama ilivyo corona. Vimempotezea ndugu yangu zaidi ya 300milion baada ya kumdanganya chini ya ardhi Kuna dhahabu.na kumbe hakuna
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Nimecheka kweli yaani Kama scene ya movie vile
 
Back
Top Bottom