Wakuu naomba mumsaidie mdogo wangu anasumbuliwa na kidonda kwenye kichwa cha uume.
Kilianza kama ngozi iliyobabuka au fungus, kukojoe huku anasikia raha na muwasho, lakini sasa kuna kidonda kwenye kichwa na hawezi kuvaa nguo yeyote sasa.
Tafadhali naombeni matibabu yake ili nikamsaidie.
Alienda hospitali akapimwa damu na mkojo, dr akamwambia hana maambukizi yeyote hata kaswende ambayo dr alidhani, haikuwepo.
Alipewa Ampiclixilian na dawa ya kupaka, ila mpka sasa siku ya tatu, kidonda kinazidi kutkua na kutoa maji na usaa.
Kilianza kama ngozi iliyobabuka au fungus, kukojoe huku anasikia raha na muwasho, lakini sasa kuna kidonda kwenye kichwa na hawezi kuvaa nguo yeyote sasa.
Tafadhali naombeni matibabu yake ili nikamsaidie.
Alienda hospitali akapimwa damu na mkojo, dr akamwambia hana maambukizi yeyote hata kaswende ambayo dr alidhani, haikuwepo.
Alipewa Ampiclixilian na dawa ya kupaka, ila mpka sasa siku ya tatu, kidonda kinazidi kutkua na kutoa maji na usaa.