Wakuu naomba mumsaidie mdogo wangu anasumbuliwa na kidonda kwenye kichwa cha uume.
Kilianza kama ngozi iliyobabuka au fungus , kukojoe huku anasikia raha na muwasho,lakini sasa kuna kidonda kwenye kichwa na hawezi kuvaa nguo yeyote sasa.
Tafadhali naombeni matibabu yake ili nikamsaidie..
Mkuu hiyo ni gonolia, ni ugonjwa unaotokana na kujamiiana, dawa yake ni ant biotics lkn kwa kupigwa sindano kama tano, nasema hivyo kwani yalinikuta nikiwa shule miaka hiyo iliyopita, nikapatwa na vidonda viwili kwenye kichwa,
chini ya kichwa na juu yake, dr, akaniambia ni ugonjwa wakuambukizwa unaotokana na ngono zembe hivyo nikandikwa sindano ya ppf kama sikosei tano nikapona, mwambie asichelewe, vidonda kama hivyo uchimba kichwa cha mzee Abdallah atapata makovu akipona,
kama atachelewa akiwahi zinafutika kabisa, ni ugonjwa wakaida kabisa, lkn awe makini ckunyingine asiwaamini 100% wasichana na kwenda nao miguu peku, kuna mbigili mtaani siku hizi.