kuna ajali moja ilitokea,majuruhi mmoja alionekana akilia saaaana,huku akiruka ruka kwa maumivu!
Mzee mmoja akamfuata na kumuuliza kulikoni?
Kijana huku akizidi kulia,alimuonesha mzee sehemu ambapo kilikuwepo kidole chake!
Mzee alimuhurumia sana na kumwambia:
"pole sana kijana utapona tu,jikaze usilie namna hiyo utakuwa unakufuru,yaani kidole tu unalia hivyo?,si unamuona mwenzio pale ye kakatika shingo lakini katulia tuliii,jikaze mjukuu wangu"
Mzee mmoja akamfuata na kumuuliza kulikoni?
Kijana huku akizidi kulia,alimuonesha mzee sehemu ambapo kilikuwepo kidole chake!
Mzee alimuhurumia sana na kumwambia:
"pole sana kijana utapona tu,jikaze usilie namna hiyo utakuwa unakufuru,yaani kidole tu unalia hivyo?,si unamuona mwenzio pale ye kakatika shingo lakini katulia tuliii,jikaze mjukuu wangu"