Rosemary Stephen
New Member
- Oct 22, 2019
- 3
- 5
Moja ya jambo ambalo vijana wengi wanafanya wakiwa katika kuchagua course za kusomea chuoni ni kufata mkumbo na kuiga kile ambacho wenzao wamechagua.
Wito wangu kwa form six wote waliomaliza sasa hivi, ni kuangalia kwa upana zaidi nini unataka katika maisha yako, usiende kusomea course ambayo huipendi wala hukuwa na malengo nayo. Nenda kasome kitu ambacho HATA UKIKOSA AJIRA UNA UWEZO WA KUJIONGEZA KUPITIA HIKO NA KUJITAFUTIA AJIRA.
Unakuta mtu kasoma PCM na alikuwa anataka kuwa engineeer ila kwa sababu amesikia ajira za engineering ni chache basi anaenda kusomea biashara.
Hii inasababisha
1. Kuzidi Kuwepo kwa wafanyakazi hewa katika sekta za huduma ya jamii
Mtu alikuwa na malengo ya kuwa daktari unaenda kumuweka benki, uhakika wa kuwa utendaji kazi wake utakuwa mdogo ni asilimia kubwa sana maana atafanya sio kwa kukusudia kuwahudumia watu ila apate kitu cha kupeleka kinywani.
2. Ongezeko La wafanyakazi chini ya kiwango
3. Ongezeko la ukosefu wa ajira. Sasa hivi watu wanaajiri ubora wa mtu na sio elimu ya mtu. Kwahiyo hata kama ukisomea kitu chenye soko la ajira kama haupo bora eneo hilo kupata kazi ni ngumu sana.
Wito wangu kwa wadogo zangu form six. NENDENI MKASOMEE VITU MNAVYOVIPENDA HUKO NDIO KWENYE MAFANIKIO YENU.
Wito wangu kwa form six wote waliomaliza sasa hivi, ni kuangalia kwa upana zaidi nini unataka katika maisha yako, usiende kusomea course ambayo huipendi wala hukuwa na malengo nayo. Nenda kasome kitu ambacho HATA UKIKOSA AJIRA UNA UWEZO WA KUJIONGEZA KUPITIA HIKO NA KUJITAFUTIA AJIRA.
Unakuta mtu kasoma PCM na alikuwa anataka kuwa engineeer ila kwa sababu amesikia ajira za engineering ni chache basi anaenda kusomea biashara.
Hii inasababisha
1. Kuzidi Kuwepo kwa wafanyakazi hewa katika sekta za huduma ya jamii
Mtu alikuwa na malengo ya kuwa daktari unaenda kumuweka benki, uhakika wa kuwa utendaji kazi wake utakuwa mdogo ni asilimia kubwa sana maana atafanya sio kwa kukusudia kuwahudumia watu ila apate kitu cha kupeleka kinywani.
2. Ongezeko La wafanyakazi chini ya kiwango
3. Ongezeko la ukosefu wa ajira. Sasa hivi watu wanaajiri ubora wa mtu na sio elimu ya mtu. Kwahiyo hata kama ukisomea kitu chenye soko la ajira kama haupo bora eneo hilo kupata kazi ni ngumu sana.
Wito wangu kwa wadogo zangu form six. NENDENI MKASOMEE VITU MNAVYOVIPENDA HUKO NDIO KWENYE MAFANIKIO YENU.