Kicheko cha PINDA

Kicheko cha PINDA

TOWASHI

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
294
Reaction score
181
Kuna kitu kinaitwa etiquette..... yaelekea hajafundishwa huyu
attachment.php
 

Attachments

  • PINDA.jpg
    PINDA.jpg
    184 KB · Views: 2,431
e banaa ee! kulikuwa na haja gani ya kunyanyua huo mguu??
 
napata shida kuamini kama kile kitendo cha gesi ngumu haki kutake place....
 
aaaaa mtoto wa mkulima bwana.....mwenye clip ya kulia bungeni aipost tulinganishe body languages..
 
Inaonekana walikuwa wanaangalia mpira kwenye runinga jamaa akawa amekolea na kuamua naye kuusindikiza mpira kwa kurusha teke angani. makubwa!
 
Hiyo midadi ninoma, bora hapo mbele hakuna mtu aliyekaa, jaribu kufikiri anaporudiha huo mguu lazima akupe ya mgongo. Lakini anaonekana ni mtu wa mazoezi.
 
Jamaa yetu yeye kaishia kushika kichwa........ila lazima ilikuwa a big joke.......mimi sijawahi kumuona Dr Shein akicheka

attachment.php
 
aiseeeeeeee babaangu hapa atakuwa ametowa gass ya kunuka manake alivyoinua mguu sijui
 
Hahahhaa
Huyo mpiga picha nae mfukunyuku balaaa
 
Hahaha hii nimeipenda sijui kutakua kulisemwa nini!
 
Back
Top Bottom