Wimbo JF-Expert Member Oct 23, 2012 783 525 Nov 20, 2012 #41 Huyo mpigapicha afunguliwe mashtaka, anamdhalilisha rais wetu wa 2015 akome kabisa
amkawewe JF-Expert Member Dec 9, 2011 2,021 527 Nov 20, 2012 #42 Makamba huyo amewachanganya na maneno.
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,882 13,171 Nov 21, 2012 #43 Mkuu rombo said: aiseeeeeeee babaangu hapa atakuwa ametowa gass ya kunuka manake alivyoinua mguu sijui Click to expand... Malezi machafu huzaa mawazo machafu Ndugu yangu una kazi kubwa kustaarabika.
Mkuu rombo said: aiseeeeeeee babaangu hapa atakuwa ametowa gass ya kunuka manake alivyoinua mguu sijui Click to expand... Malezi machafu huzaa mawazo machafu Ndugu yangu una kazi kubwa kustaarabika.
Mandown JF-Expert Member Apr 8, 2012 1,665 503 Nov 21, 2012 #44 Baba V said: e banaa ee! kulikuwa na haja gani ya kunyanyua huo mguu?? Click to expand... alikuwa anatafuta fursa ya KUJAMBA
Baba V said: e banaa ee! kulikuwa na haja gani ya kunyanyua huo mguu?? Click to expand... alikuwa anatafuta fursa ya KUJAMBA
Negrodemus JF-Expert Member Dec 30, 2010 2,316 677 Nov 21, 2012 #45 hii tabu ya kuwa mshikiria gia hapo unakuta baba mwanaasha aliongea kakitu kadogo tu kuonyesha wanamsapoti ndio hayo yametokea ni umbea tu lakini
hii tabu ya kuwa mshikiria gia hapo unakuta baba mwanaasha aliongea kakitu kadogo tu kuonyesha wanamsapoti ndio hayo yametokea ni umbea tu lakini
Mkuu rombo JF-Expert Member Oct 18, 2012 1,556 422 Nov 21, 2012 #46 aiseee babaangu hayo malezi machafu kapewa pinda hiyo ni tabia gani kucheka na kuinua miguu
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Nov 22, 2012 #48 Kivumah said: Click to expand... huu ni mlalo wa kibonge nyanya..