Kicheko cha PINDA

Kicheko cha PINDA

Kuna kitu kinaitwa etiquette..... yaelekea hajafundishwa huyu
attachment.php

haha.. nadhani jamaa kicheko kilimzidi, alikuwa anatafuta namna ya kutoa kaushuzi. Ndo mana JK ikabidi ashike kichwa kusema kwamba mzee mwezangu unaniabisha........ kwi kwi kwi kwi kwi.............
 
stress freeeeeee,hakuna cha watoto watasomaje,hela ipo ya kula mpaka vitukuuuuu
 
pinda.jpg
Ningependa kujua nini kimewachekesha kiasi hicho!
 
cheki jamaa aliye nyuma ya mangula alivyostuka...:becky:
 
Nadhani hiyo ilikuwa wakati wa porojo za Makamba Senior akimpamba kikwete kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama cha magamba.
 
Back
Top Bottom