MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Mohamed Said umekuwa kwenye anga za kisiasa kwa muda mrefu na kwa maana hii ninaamini unafahamu kilichowapata Tanganyika wanaoishi Zanzibar.Msemaji Ukweli,
Nakupa jibu la haraka kabla sijafanya utafiti kuhusu ubaguzi wa Watanganyika Zanzibar.
Ikiwa hili limetendeka huko huo ni ubaguzi na unastahili kupigwa vita.
Ninawashangaa watu kama wewe ambao mnataka kutuaminisha kama mnashangaa kilichofanywa na hao vijana wa CCM wakati ilifikia kiwango cha waumini wengine kuchomewa sehemu zao za ibada kwa sababu ya notion ya kwamba Zanzibar ni nchi ya Waislam.
Ubaguzi unawatafuna Wazanzibari.