Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,726
- 29,964
Alisema mwenyewe kuwa yeye ni JIWE kweri kweriš¤£Ila humu mnaongoza kumsema jiwe ..acheni unafiki ccm
Alisema mwenyewe kuwa yeye ni JIWE kweri kweriš¤£Ila humu mnaongoza kumsema jiwe ..acheni unafiki ccm
CCM inajimaliza yenyeweKuna kitu nakiona 2025 kitalipuka
Ulitaka awaruhusu Wanaume muoane?š¼Lakini ana historia ya mashaka na isiyopendeza kwenye eneo la Haki za Binadamu
Yeye unayemsema, alimuoa Azory Gwanda, Ben Saanane?Ulitaka awaruhusu Wanaume muoane?š¼
Unapokuwa umekunywa chaso na kutafunia mihogo ya booster unakuwa unaropoka bila kushirikisha akili.Ulitaka awaruhusu Wanaume muoane?š¼
Wacha tuone hili gari bovu litafia wapCCM inajimaliza yenyewe
Bwashee ulichanja JJ? š¼š„Yeye unayemsema, alimuoa Azory Gwanda, Ben Saanane?
Ulichanja?Unapokuwa umekunywa chaso na kutafunia mihogo ya booster unakuwa unaropoka bila kushirikisha akili.
Kwani kupiga kelele za ubadhirifu na mauaji ni kwa ajili ya ndoa za jinsia moja?
Sijawahi na sidhani kama nitathubutuBwashee ulichanja JJ? š¼š„
Basi tamko la Francisco halikuhusu šš„Sijawahi na sidhani kama nitathubutu
Kwa nini ccm ijitenge naye?Mtu na mkwewe wanaupiga mwingi kwenye hili.
CCM imeamua kujitenga na JPM ili kushinda uchaguzi. Wasichokijua ni kwamba wapigakura wengi huwaambii kitu dhidi ya Jiwe
Wapiga kura wapi, hao wanaojitenga naye wanajua ukweli wa kura uchaguzi wa 2020. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 haukufika wapiga kura 10m, japo yeye alilazimisha kutangaza kwa 12m+. Au unadhani hatukiona ile idadi ndogo ya wapiga kura, na sababu hasa ni yeye kubaka uchaguzi?Mtu na mkwewe wanaupiga mwingi kwenye hili.
CCM imeamua kujitenga na JPM ili kushinda uchaguzi. Wasichokijua ni kwamba wapigakura wengi huwaambii kitu dhidi ya Jiwe
Kwa sababu inataka kura 2025.Kwa nini ccm ijitenge naye?
Angekuwa mtu mzuri wangeng'ng'ania sifa zake wapate kura zaidiKwa sababu inataka kura 2025.
TindošÆWapiga kura wapi, hao wanaojitenga naye wanajua ukweli wa kura uchaguzi wa 2020. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 haukufika wapiga kura 10m, japo yeye alilazimisha kutangaza kwa 12m+. Au unadhani hatukiona ile idadi ndogo ya wapiga kura, na sababu hasa ni yeye kubaka uchaguzi?
Hoja yangu ni hii.Wapiga kura wapi, hao wanaojitenga naye wanajua ukweli wa kura uchaguzi wa 2020. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 haukufika wapiga kura 10m, japo yeye alilazimisha kutangaza kwa 12m+. Au unadhani hatukiona ile idadi ndogo ya wapiga kura, na sababu hasa ni yeye kubaka uchaguzi?
Wakati wa Nyerere tulipiga Kura ya Ndio na Hapana š¼Wapiga kura wapi, hao wanaojitenga naye wanajua ukweli wa kura uchaguzi wa 2020. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 haukufika wapiga kura 10m, japo yeye alilazimisha kutangaza kwa 12m+. Au unadhani hatukiona ile idadi ndogo ya wapiga kura, na sababu hasa ni yeye kubaka uchaguzi?
Je alitekekeza matakwa yake au maelekezo ya CHAMA kupitia vikao vyao?Angekuwa mtu mzuri wangeng'ng'ania sifa zake wapate kura zaidi
Atakuwa alimsoma Mzee MwanakijijiNi King Kinya sio Masoud kipanya
View attachment 2934996
Ofcourse wanataka waonekane wao hawahusiki na ule unyamaHoja yangu ni hii.
Kila kitu alichofanya Magu kilitendwa na WATU, watu hao ni CCM na dola.
Sasa leo unatulazimisha tuamini kuwa kutokuwepo kwa Magu ndo tatizo limeisha? Kwa nini tuamini ubaya wa Magu kana kwamba aliyatekeleza yote hayo peke yake?