Kibonde na Misosi!!

Kibonde na Misosi!!

huyu jamaa ni mnafiki, simkubali aiseeeeeeee
 
Tehetehe!!

Jamaa anaonekana ni mahiri sana kwenye misosi!!!
 
Courtesy of Sugu kwenye Anti-Virus, Kibonde yumo kwenye mtandao wa grid ya taifa kwa hiyo nadhani ni stahiki kwake kupiga misosi kama hiyo b'se inasemekana hizo dawa ni powerful sana.
 
Jamani leave kibonbe alone msiwe wanyanyapaaji ebo Tz bila ukimwi inaweza kuathirika sio kilema.
 
Mlikua nae angaza akati wa kupima? Msiongee tu kisa Sugu alisema. Mbona hata wewe huku wanasema unangoma.. Acheni upuuzi wa kuthibitisha kila kitu akati hamna hata chembe ya uhakika
 
Naishi na some Kenyan n other people from different parts in Africa, wao wanaamini kila MBONGO ni mmbea for some reason huwa nataka nikubaliane nao coz ya upuuzi kama huu. Wabongo wakipata neno tu au mtu akisema kitu wao wanachukua wanaenda kusema ka wanauhakika vile.
 
Back
Top Bottom